The dumb Professor
JF-Expert Member
- Dec 10, 2023
- 666
- 1,416
- Thread starter
- #41
Shukran sana mkuu ....nakufata pm🙏Soma kitabu kinaitwa mabala the farmer kile kipande cha mabala tu peke yake kisha tafakari kwa kukusaidia hiyo sehemu unasema mabala 1961 alimaliza shule akapata kazi baada ya kupata kazi mwamba akajua kula bata tu hakuwaza kujenga, kununua mashamba wala nini yeye bata batani si hana tegemezi ila mwaka 1975 mabala akaoa kwakua alikuwa yeye na mkewe hawana watoto wala nini bata likaendelea si ana ajira bwana ila mwaka 1979 mabala na mkewe wakapata mtoto,
Baada ya kupata mtoto maisha yakabadilika vitu bei juu kipato hakikidhi mahitaji na mbala kazoea bata akastuka anaitaji kutunza pesa na kujenga ila kipato kigumu pamoja na mkewe kujituma ujasilimali maisha yakawa bado magumu, kumbuka alikaa miaaka zaidi ya 15 anakula bata akumbuki jipanga maishq ya badae anakumbuka mda umeenda sana
Hali ilikuwa mbaya pale mtoto wao mabala anataka kuanza darasa la kwanza mabala hana hata mia mbovu
MY TAKE
Unapoanza ajira kuajiriwa maana yake safari ya kuijenga famila yako mdio imeanza siyo mda wa kupoteza kukesha kwenye makumbi na starehe au nyumba za wageni ukistarehe, kama ulishindwa kufanya huo ujinga kipindi upo masomoni basi jipe miaka saba au kumi ya kujenga misingi ya maisha yako na familia yako ndio uanze tena otherwise unapotea
So weka mipango yako kipi kipaumbele chako kabla ujawa na familia je usafiri au makazi, au umiliki wa aridhi
Kama unakopesheka narudia kama unakopesheka na hauna familia
Nenda kakope anza na kipaumbele chako namba moja kama gari kopa pesa utakayo nunua gari na aridhi kama ni makazi kopa pesa utakayo anza ujenzi ma kuishia kwenye hatua ya upauaji na kanunue aridhi
Kwanini kwenye kila kukopa nasema usiache aridhi na maana aridhi inapanda thamani kwaiyo kwenye aridhi u akuwa kama umetunza pesa na usikimbilie kununua aridhi katikati ya mji tafuta nje ya mji eneo ambalo unajua baada ya miaka mitatu uhitaji wa aridhi utakuwa mkubwa so unaweza kuuza pesa ukafanya jambo jengine
Turudi kwenye point nasema kopa nunua gari na aridhi na maana a aisha ya kibongo huwezi tunza pesa ukanunua gari kwa mshahara wa milioni ambao shida na raha unautizama
Kwaiyo unapokopa ukanunua gari let say mkopo wa miaka mitatu, unachukua na aridhi mkopo ukiisha tayali una aridhi, unakopa tena miaka mitatu, unainua boma la nyumba, na kununua aridhi, unakaa mika mitatu mkopo ukiisha kazini unakuwa na miaka sita ila una gari na boma la nyumba na viwanja viwili hapo sasa ndio unasema natoka mazima hata kama umeoa una mtoto hapo ndio mda wa karata yako ya mwisho
Uza viwanja vyote, uza gari yako hiyo uliyokaa nayo miaka sita nenda kapaue nyumba yako weka grill za madirisha na milango rudi kukopa sasa mkopa wa kikomo ule mrefu unachukua pesa nyingi chukua huo mkopo fanya finishing nyumba yako, hamia pesa inayobaki tafuta gari nyingine, na aridhi tena nje ya mji tulia anza furahia maisha na familia
Kumbuka hapo una miaka sita kazini una nyumba yako usafiri wako familia yako, na mshahara lazima utakuwa umebadilika na ujaishi kwa mateso kazini kwani ulikopa ukiwa na malengo so baada ya hapo anza kubeti sasa kwenye ujasilimali mtaji ukipotea unatulia unakopa tena u abet biashara nyingine hivyo hivyo unajitafuta
ZINGATIA
USIKOPEE PESA NDEFU ETI ANZA BIASHARA KWANI WATANZANIA KITU PEKEE TUNACHOONA NI RAHISI KUKIFANYA NA INAWEZEKANA NI BIASHARA STOP THAT WEWE MWAJILIWA PATA MAKAZI USAFIRI ANZA KUBET NA BIASHA KWANI HUWEZI SIMAMIA BIASHARA KWA UCHUNGU KAMA MTU AMBAYE BIASHARA NDIO AJIRA YAKE SO WENGI WATUMISHI WENGI WAMEPOTEA HAPO LEO STRESS ZINAWATESA