Vesuvius
JF-Expert Member
- Jun 27, 2021
- 1,556
- 2,790
Akiri mara ngapi huyu mbwiga? Si unaona kaleta tayari uzi, keshakiri huyuKuna siku mtakiri kuwa JPM alikuwa kichwa!
Akiri mara ngapi huyu mbwiga? Si unaona kaleta tayari uzi, keshakiri huyuKuna siku mtakiri kuwa JPM alikuwa kichwa!
Mjinga kweli wewe....
Unashindwa kusema HONGERA HAYATI JPM ??.
watu wengine wapuuzi kwelikweli.
Twiga anaingia kwenye Boeing 😀😀Twiga to Oman.
Wanamkunja kama karatasi.Twiga anaingia kwenye Boeing 😀😀
Ndege tulizokwisha nunua nyingi hazifanyi kazi. Sijui tuna mpango gani na hizi mpya?Ndege ya kwanza ya mizigo mali ya Air Tanzania A 767-300 imeonekana katika karakana ya Boeing Washington ndege hiyo ina namba za usajili 5H-TCO.
Hizi ni miongoni mwa ndege 4 ambazo zinatarajiwa kuingia nchini muda wowote kuanzia hivi sasa.
Kwa hili la Rais Samia kuongeza ndege za mizigo ni kama amegusa mahali penyewe ikiwa ndiyo mahitaji makubwa kwa nchi kusafirisha mizigo kwenda sehemu mbalimbali Duniani.
View attachment 2550104
Kabla ya kusoma hapo ukasome post niliyoquote, usidandie treni kwa mbeleEMBU JISOME HALAFU USINIJIBU.
"Hizo ndege zimeagizwa kipindi cha JPM, kule unaweka oda kwanza ndiyo inatengenezwa. Asikudanganye huyu, mama awamu yake hakuna hata ndege iliyoagizwa"
Wapunguze uchawa, halafu ukawanunulie bia wewe?? , Famasihara nn??Hizi Ndege zininunuliwa wakati wa Magu.
punguzeni uchawa
EMBU JISOME HALAFU USINIJIBU.Kabla ya kusoma hapo ukasome post niliyoquote, usidandie treni kwa mbele
Angalau wewe unajitambua siyo akina kimsboy weupe kichwaniKuna siku mtakiri kuwa JPM alikuwa kichwa!
Cash ililipwa na serikali, haikulipwa toka katika mfumo wa huyo jamaa mmoja unaemsemea.Siyo tunamalizia kupokea mzigo alokuwa amelipia cash hayati? hope kabla kamala hajatua bongo itakuwa imefika,mambo ya diplomacy hayomitano Tena kwa mama akeee
Siyo Mchamba-wima?iandikwe "kazi iendelee"
nyengine iandikwe "Nungwi" au chewa
zile kesi za yule mpumbavu aliyekufa zimeisha? Wasije wakakamata ndege na mizigo yetu! khaa! tulipita mapito. Hivi JPM alifanya mwenyewe? Mbona namuona Katelephone anajifanya kama hakuwepo? Afadhali Mother najua alitishia kuachia ngazi kipindi fulani! lakini huyo mmwera bado alikuwa henchman wa Jiwe.Ndege ya kwanza ya mizigo mali ya Air Tanzania A 767-300 imeonekana katika karakana ya Boeing Washington ndege hiyo ina namba za usajili 5H-TCO.
Hizi ni miongoni mwa ndege 4 ambazo zinatarajiwa kuingia nchini muda wowote kuanzia hivi sasa.
Kwa hili la Rais Samia kuongeza ndege za mizigo ni kama amegusa mahali penyewe ikiwa ndiyo mahitaji makubwa kwa nchi kusafirisha mizigo kwenda sehemu mbalimbali Duniani.
View attachment 2550104
Hiyo ni project ya JPM aliacha amelipa advance.Mama yupo vizuri
Aliacha amelipa kiasi gani?Hiyo ni project ya JPM aliacha amelipa advance.
Acha hizo wewee...Zitabeba mawe