@Pakajimmy, hapa kweli mgeni atasoma vizuri, macho yatauma
Njia ya pili ni kutumia Western Union au Money Gram na kutuma kwenda kwa Maxence Melo Mubyazi wa Dar es Salaam.3. Njia ya tatu ni kutumia Bank accounts za Maxence kama ifuatavyo:NBC:Acc #: 033201064359Jina: Maxence Melo MubyaziCRDB:Account Name: Maxence Melo MubyaziBank: CRDB Pugu Road BranchSwift Code: CORUTZTZAcc No: 01J20923918004. Njia ya nne:Unaweza kutuma recharge vouchers za tiGO, Zain, VodaCom au Zantel kwenda kwa Maxence - 0713444649 naye atakufahamisha kuwa kazipokea.=================================Ikumbukwe, SI LAZIMA kuandika jina lako la kweli na SI LAZIMA kwenda mwenyewe bank kutuma pesa hizo (kwani unaweza kumpa unayemwamini na kumpa account details na jina lako ambalo ungependa aandike).Tunaweza kuandika mengi lakini ukweli unabakia pale kuwa JF inahitaji michango yenu kwa sana tu.Kwa wenye maswali zaidi wanaweza kuwasiliana na Maxence kupitia namba yake ya simu +255713444649
Salamu kwa wote!
Kwa mara ya kwanza natia timu ndani ya JF tutawasiliana kwa sana tu!
Mkuu mbona ni kama tunatuma kwa mtu? (Individual) thought JF is a company and expected bank accounts to be in the name of the Company. Just curious mkuu, dont get me wrong (some people call it professional sceptisism).
Mh, asante mkubwa!Mkuu wangu KABAZI.MKONOMTUPU HAURAMBWI..
JINSI YA KUCHANGIA (KUIWEZESHA) JF:
Akaunti ambazo tangu awali tulipendekeza zitumiwe ni za Maxence Melo (as the JF Founder) na tukawaomba wanaotuma waandike Nicks za kuweza kutanabaisha kuwa wao ndio walotuma.
=================================
Michango inaweza kutumwa kwa njia kuu nne:
1. Kwa walio nje wanaweza kutumia PayPal au Credit Cards au Debit Cards kwa kufuata link hii ( https://www.jamiiforums.com/payments.php) iliyo kwenye sahihi yangu (linapoonyesha dole gumba) na pindi mchangiaji anapoweka chochote tunakuwa notified nasi tunafanya kuwasiliana na mhusika ili aweze kupandishwa kwenda katika group la Premium Members.Paypal users: Send via email - macdemelo@gmail.com moja kwa moja itafika na utaarifiwa ndani ya dakika 60 kuwa mchango wako umepokelewa.
2. Njia ya pili ni kutumia Western Union au Money Gram na kutuma kwenda kwa Maxence Melo Mubyazi wa Dar es Salaam.
3. Njia ya tatu ni kutumia Bank accounts za Maxence kama ifuatavyo:NBC:Acc #: 033201064359Jina: Maxence Melo MubyaziCRDB:Account Name: Maxence Melo MubyaziBank: CRDB Pugu Road BranchSwift Code: CORUTZTZAcc No: 01J20923918004.
Njia ya nne:
Unaweza kutuma recharge vouchers za tiGO, Zain, VodaCom au Zantel kwenda kwa Maxence - 0713444649 naye atakufahamisha kuwa kazipokea.
=================================Ikumbukwe, SI LAZIMA kuandika jina lako la kweli na SI LAZIMA kwenda mwenyewe bank kutuma pesa hizo (kwani unaweza kumpa unayemwamini na kumpa account details na jina lako ambalo ungependa aandike).
Tunaweza kuandika mengi lakini ukweli unabakia pale kuwa JF inahitaji michango yenu kwa sana tu.Kwa wenye maswali zaidi wanaweza kuwasiliana na Maxence kupitia namba yake ya simu +255713444649
Uko right Mkuu, ni kweli tunatuma kwa mtu binafsi, na kama wewe unaelewa kila kitu kuhusu JF, UTAJUA kwamba yeye (MAXENCE) ndo KIGOGO WA JF huku Bongo(nadhani niko sahihi), na kwa vile ameandikwa hapo kwa uwazi, basi tuamini tu kwamba anawasilisha fedha mahala kunakohusika, na wewe pia utaona jina lako limepandishwa hadhi na umekuwea premium member...kwahiyo hakuna usiri wala longolongo.