Ndalichako: Walimu wa sanaa wanatosha. Serikali haiwezi kuajiri walimu wa masomo hayo kwa sasa

Ok,nini hatima ya wahtimu hao?watafutiwa kazi ya kufanya coz nat fear walimu wa intake moja yaani 2015 wengine waajiriwe na wengine watoswe,na why wanazid kudahili walimu mavyuoni ,mmh lkn ni kiburi chetu mpiga pushapu atakuwaje rais?ndo tujifunze 2020alafu anajifanya yupo kimya ili watu wampende kumbe yeye ndo anatoa tamko,na hayo mandege nayo anabana matumizi au ,nina zao,
Ana hasira alisahau alipo fukuza wale wa udom alisahau kuna mwanae kilaza alikuwepo kule sasa anahasira watoto wake vilaza halafu awaajiri nyinyi wa bachela haha
 
Zombie reject katika ubora wake....wewe unadhani kama alitimuliwa uongozi wa J.K huu atakuweza..???
 
Penye ukweli tuseme ukweli.
Waalim waasomo ya sanaa wapo wengi tatizo ni mgawanyo. Mijini wamejazana kinoma.
Wakurugenzi na maafisa elimu wabanwe kutoa orodha ya wale ambao ni ziada,(watoe idadi) ili redistribution ifanyike.
Na halmashauri za vijijini wajenge mazingira ya watu hawa kuishi na kuvutika kuishi huko.. Sio unakuta mazingira yanayokufanya uanze kusaka drs wakuandikie barua ya magonjwa ili uhame.
Kama serikali haina uwezo wa kuwalipa tunalazimisha waajiliwe ili wakikosa stahili zao tuanze lulalamika tena?
Hata majumbani kwetu tunatani kuwa na watenda kazi wengi ila uwezo wa kuwalipa ndio limiting factor.
Swala ni kwamba kwa miaka 2 yote serikali ilikuwa inahamasisha walimu wa masomo yote wasome, kwa hiyo watu na watoto wao wakajinyima na wengine wakaingia madeni makubwa. Leo unapokuja kuwakataa sasa waende wapi.
Muda, pesa, na matumaini yanapotea sasa nani wa kuwalipa?
Kwann serikali ilikosa timeflame ya kusema lbd kuanzia mwaka ni mwaka ni hawatatakiwa ili watu wajiandae au musoma kozi nyingine kama kilimo ?
 
Kwa nini serikali iliwasomesha hao walimu wa masomo yasiyo ya sayansi kama walijua haiwahitaji?Ndo kusema hata lugha haitafundishwa tena mashuleni?Na mikopo waliyopewa hawa walionyimwa ajira watalipaje?au watasamehewa?kama hawatasamehewa serikali iongeze magereza kwa sababu zilizopo hazitawatosha.
Serikali ilimfuata nani nyumbani kwao ikamshawishi asome Ualimu!?

Serikali imewasomesha wangapi wasio waalimu na huwana ajira na hujasema??
 
Kwa nini serikali iliwasomesha hao walimu wa masomo yasiyo ya sayansi kama walijua haiwahitaji?Ndo kusema hata lugha haitafundishwa tena mashuleni?Na mikopo waliyopewa hawa walionyimwa ajira watalipaje?au watasamehewa?kama hawatasamehewa serikali iongeze magereza kwa sababu zilizopo hazitawatosha.
Tena jamaa watadaiwa mkopo baada ya miaka kadha wataambiwa wadaiwa sugu
 
Swala ni kwamba kwa miaka 2 yote serikali ilikuwa inahamasisha walimu wa masomo yote wasome, kwa hiyo watu na watoto wao wakajinyima na wengine wakaingia madeni makubwa. Leo unapokuja kuwakataa sasa waende wapi.
Muda, pesa, na matumaini yanapotea sasa nani wa kuwalipa?
Kwann serikali ilikosa timeflame ya kusema lbd kuanzia mwaka ni mwaka ni hawatatakiwa ili watu wajiandae au musoma kozi nyingine kama kilimo ?
Wizara ya elimu kuna tatizo.Unahamasisha watu,unawapa mikopo kuwa kozi hii kipaumbele unafika mbele unageuka.Nchi hakuna mipango endelevu ya elimu?fikra zangu ni kuwa waliwekwa kwenye mpango wa maendeleo wa elimu ambao unahusu utatuzi wa kuanzia changamoto za elimu kuanzia majengo,vifaa na upungufu wa walimu.Hivi kulikoni mpango unakatikia hewani? Wataalamu wa mipango ya elimu toeni jibu mlihamasisha watu wasomee digrii za ualimu ili iweje? Kuwapotezea watoto muda au mnataka kuichonganisha Serikali ya CCM na wananchi? Mnaihujumu kupitia utaalamu wenu ichukiwe?
 
  • Thanks
Reactions: bne
Nakumbuka miaka ya 2003 nilipomaliza form six , vijana walihamasika kusoma uhasibu, yaani darasa la Bcom lilikuwa kubwa mno UDSM, nakumbuka marafiki zangu niliosoma nao PCM na PCB nao walikimbilia Bcom eti kuna uhaba mkubwa wa wahasibu, miaka ikaenda uhaba wa wahasibu ukaisha ..... sikuambii kilichotokea.

Haya ndio yanayowatokea walimu wetu, walihamasishwa kusoma ualimu eti unapata ajira direct, kila chuo kipya cha private kikajaza shahada za ualimu hasa wa masomo ya arts... Mara MUCE na DUCE vikatengwa rasmi eti kutoa shahada za ualimu tu dah......wametosha sasa.

Na huko tuendapo mtakuja kusikia kuhusu hili la gesi, eti kuna shahada za mambo ya gesi, vijana wanahamasishwa kusomea gesi na makumi kwa mamia ya wazazi wamepeleka watoto zao nje wakasomee gesi. Subirini...
 
Na ndiko ilitakiwa tuelekee.WENGI WA walimu wa shule za msingi za kenya na uganda wa shule za msingi wana digrii.Ilitakiwa tusogee mbele shule za msingi zianze kuwa na walimu wenye digrii.Nchi za ulaya na marekani huwezi fundisha shule ya msingi bila digrii.Kama nchi inatakiwa twende huko tulingane na kenya ,uganda na nchi zinginezo.Vyuo vyetu vilikuwa vimejipanga vizuri sana kwenye huo mwelekeo kwa kuanza kutoa digrii za ualimu za shule za msingi ( Bachelor of education in primary education) NA digrii za ualimu wa chekechea (Bachelor of education in early childhood education).Kwa mwelekeo tuliokuwa nao ni kuwa walimu wa degree za ualimu za arts wanatakiwa kuanza kuelekea kwenye elimu yetu ya msingi kama wamejaa sekondary.Ili tuanze kuondoa taratibu walimu wa certificate na diploma shule za msingi na ku-replace walimu wa degree tulingane na nchi za wenzetu
Inawezekana aliyekuwa kapanga yote hayo kashaondoka,huyu ni mwingine anampango wa kuzalisha mainjinia na kada nyingine,kwa hiyo tuumieni taratibu wakati huo akili zetu tukizifungua 2020 tujue nn cha kufanya awamu ijayo ili tuwasaidie wadogo zetu
 
Mbona kuna watu wengi wamesoma sheria..uhasibu...human resources na ajila hawajapata...na hawalii punguzen matarajio
 
Kosa kubwa la mtaala wa elimu wa Tanzania mtu anapokuwa chuo anaandaliwa kuhusu kufundisha au kuchoma sindano tu badala ya kumwandaa hata ajue jinsi ya kulipa ili mitihabi form four ikija vibaya Kama hivi wahitimu wakachungr hata mbuzi
 
Hongera waziri kwa kusitisha ajira za waalimu wa sanaa, viva waziri mawazo yako yadumu!!!!


Tupongeze jamni mtandao usizimwe
 
Back
Top Bottom