TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
Mbona nchi yetu nzuri? Ina kila kitu. Kila mwananchi anaweza kupata chakula, akavaa VIZURI, akajenga nyumba bora kama sio hao wezi wa CCM akina RA, EL na JK, kwani ndiye mwenye mamlaka ya kukataa kula au la. Tuombe Mungu siku moja ya maisha yetu tufaidi matunda ya nchi yetu hii nzuri.
kama sio hao wezi wa CCM akina RA, EL na JK, kwani ndiye mwenye mamlaka ya kukataa kula au la.
So tuendelee kuibiwa?CHADEMA nao wezi mdogo wangu.Hujaushtukia mchezo????
Hapana Mkuu, tatizo siyo JK, EL, RA...hata kidogo...tatizo ni CHAMA CHA MAPINDUZI, hakina mpya...JK akiondoka leo madarakani CCM ikibaki, hali itakuwa hivyo hivyo, nyika tupu hakuna litakalokuwa...tatizo pia wananchi...mimi nikiona maelfu kwa maelfu ya watu wamejazana wanamsikiliza mgombea wa CCM kwenye mkutano, tumbo huwa linansokota napata kama homa vile, najiuliza hivi hawa watu wana miili ya chuma?
Mbona mimi nahisi maumivu ya njaa, maradhi na ujinga, wao wenzangu hawayaoni? kama wanayaona hawajuwi haya yanasabishwa na nini? kwanini bilisi mbaya halafu unamwabudu...? labda kweli bilisi (CCM) mbaya lakini mapambao yake (ahadi za uwongo) mazuri
Halafu wazungu wakija wakijidai kuwa wawekezaji CCM inawafukuza raia kwenye maeneo yao waliyoyazoea na kuwapa wazungu eti niHapana Mkuu, tatizo siyo JK, EL, RA...hata kidogo...tatizo ni CHAMA CHA MAPINDUZI, hakina mpya...JK akiondoka leo madarakani CCM ikibaki, hali itakuwa hivyo hivyo, nyika tupu hakuna litakalokuwa...tatizo pia wananchi...mimi nikiona maelfu kwa maelfu ya watu wamejazana wanamsikiliza mgombea wa CCM kwenye mkutano, tumbo huwa linansokota napata kama homa vile, najiuliza hivi hawa watu wana miili ya chuma?
Mbona mimi nahisi maumivu ya njaa, maradhi na ujinga, wao wenzangu hawayaoni? kama wanayaona hawajuwi haya yanasabishwa na nini? kwanini bilisi mbaya halafu unamwabudu...? labda kweli bilisi (CCM) mbaya lakini mapambao yake (ahadi za uwongo) mazuri
Hakuna mtu anayependa kuibiwa ipo siku tu hao wezi siku zao zitafika.So tuendelee kuibiwa?
Hakuna mtu anayependa kuibiwa ipo siku tu hao wezi siku zao zitafika.
Ekari 500 zote zangu najiandaa kustahafu, hata kama hukai huko eti wewe ni mpenda nchi au ni mponda nchi Chukua chako mapema bado wamelala siku itafika mtajuta, tutayachukua mashamba na mastedium na mtamkumbuka Baba wa Taifa.Intellectual failure.
the photo is useless kwani hujaleta theme yeyote... angalia avatar ya senator ujue beauty ya nchi. nikadhani utasema JK ataweka the biggest vegetables processing industry or something... wewe umekaa unacheka-cheka tu na majani
the photo is useless kwani hujaleta theme yeyote... angalia avatar ya senator ujue beauty ya nchi. nikadhani utasema JK ataweka the biggest vegetables processing industry or something... wewe umekaa unacheka-cheka tu na majani
leta sera wewe uliyetumwa
So tuendelee kuibiwa?