mulambakao
Member
- Jul 13, 2011
- 28
- 3
Kama vile hatuufahamu ukweli!
Kuanzia kwenye maswala ya kijamii, siasa, michezo, taaluma n.k, mambo yako wazi kabisa mfanao, umeme kuzimika Taifa mwishoni mwa mashindano ya Kagame-unda tume, katibu mkuu wa wizara fulani kafanya madudu fulani-unda tume, madaktari wamefanya nini na nini-Temeke, Amana, Muhimbili, M/nyamala etc. Mara ukumbi fulani wa starehe (watoto wamepoteza maisha kwa kukanyagana, kukosa hewa -unda tume, (umeme,madini to mention a fraction)Tume zina majina ya majaji, watu maarufu wote nchini 'angalau Tume iliyoongozwa na Mwakyembe!
Haya tuunde vikosi kazi, mfano mabomu Mbagala, G/mboto madawa ya kulevya (naona sasa wanataka kuunda timu nje ya tume na kikosi kazi'i don't know if they are watchdogs within'), na majibu 'results' na repoti zinazotokana na hizo tume (kwanza sijui kama zinakuwa archived, nafikiri nyaraka hizo zitajaza ukumbi) je zinafanyiwa kazi? Je, tunajifunza lolote kutokana na hizo repoti?
Wakati mwingine labda tungeweza tu kunukuu repoti fulani ambayo ina mazingira yanayofanana na kuhitimisha (conclude) Na hizo tume, timu, vikosi kazi vinatumia rasilimali muhimu ambazo zingeweza kutuletea afueni katika maisha ya kila siku.
Je hili linaonekana kweli?
Bila kujua, inawezekana kabisa kuna tume/timu/kikosi kazi kinachochunguza/shughulikia JF naomba kutoa hoja
Kuanzia kwenye maswala ya kijamii, siasa, michezo, taaluma n.k, mambo yako wazi kabisa mfanao, umeme kuzimika Taifa mwishoni mwa mashindano ya Kagame-unda tume, katibu mkuu wa wizara fulani kafanya madudu fulani-unda tume, madaktari wamefanya nini na nini-Temeke, Amana, Muhimbili, M/nyamala etc. Mara ukumbi fulani wa starehe (watoto wamepoteza maisha kwa kukanyagana, kukosa hewa -unda tume, (umeme,madini to mention a fraction)Tume zina majina ya majaji, watu maarufu wote nchini 'angalau Tume iliyoongozwa na Mwakyembe!
Haya tuunde vikosi kazi, mfano mabomu Mbagala, G/mboto madawa ya kulevya (naona sasa wanataka kuunda timu nje ya tume na kikosi kazi'i don't know if they are watchdogs within'), na majibu 'results' na repoti zinazotokana na hizo tume (kwanza sijui kama zinakuwa archived, nafikiri nyaraka hizo zitajaza ukumbi) je zinafanyiwa kazi? Je, tunajifunza lolote kutokana na hizo repoti?
Wakati mwingine labda tungeweza tu kunukuu repoti fulani ambayo ina mazingira yanayofanana na kuhitimisha (conclude) Na hizo tume, timu, vikosi kazi vinatumia rasilimali muhimu ambazo zingeweza kutuletea afueni katika maisha ya kila siku.
Je hili linaonekana kweli?
Bila kujua, inawezekana kabisa kuna tume/timu/kikosi kazi kinachochunguza/shughulikia JF naomba kutoa hoja