Sidhani kama unafikiri vizuri. OK umesema deni ni tirion 34 hili deni tumelipata wakati gani? Kunahajagani ya kupewa misaada ingali deni linazidi kukua?ukijipa muda wa kufikiria hawa wote si kwamba wanafurahia bali wangi wanakata tamaa na kuamini kama kwa sela zile zile uongozi uleule wa misaada, tutaweza fikia malengo ya maendeleo?
jua pato la tz ni dogo sana, mahitaji ni mengi mno kuliko kipato, je bila misaada tutafika?
kumbuka tunadeni la trion 34 kwa sasa, linatakiwa lilipwe.
nakubali njia ya kufikia maendeleo ni kuachana na misaada yenye kukandamiza kwa mlango wa chini, na mikopo yenye mashart magum. swali je tumejiandaaa?
pia mafisadi wapo watakula wapi? ukifikilia kimazoea utajua ugumu wa hili swala, ila kama magu ni exceptional enough wacha tuone
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Tuna tingisha kiberiti tuone kama kimejaaAina jinsi maana wafadhili ndio hao wamegoma na sijui tutafanyaje
maana bado taifa lina changamoto kubwa sana.
Tujiandae kuisoma namba
Huyu ni mwanaume Mara moja.Ndiyo naanza kuelewa na kupata picha kwa nini alikataa kwenda kwenye mikutano ya ulaya au kujitambulisha, hapa picha inaanza kukamilika!.
Utasubiri sanaMuda utaongea tu tusubiri
Mkuu ni kweli lakini itategemea huyo mtoto yupo mazingira gani anapojifunza kutembea,kama ni ghorofani ataishia kuzimu.Acha mawazo potofu,siku zote mtoto anapo achwa atembee mwenyewe bila msaada ndo anapopata akili zaidi akitaka kuanguka atajua jinsi ya kujiokoa
Hatutakiwi kulaumu sana kwanini hatutapata msaada tujikaze kwamwendo huu ambao serikali yetu inakwenda nao naimani tunaweza piga hatua japo tuta umia kiasi....tutafika
Unazidi kuonyesha ulivyo zero ila kukusaidia ngoja nikupe hint...hayo mambo huwa hayatokei overnightDua la kuku halimpati mwewe. Umeangalia leo exchange rate ya Tsh vs USD ni kiasi gani halafu linganisha na mwaka Jana.
ndio hivyo wakubwa wamejitoa ufadhili wa bajeti yetuMbona unaweka habari Nusu?
Mheshimiwa Magufuli Watanzania tupo tayari kula nyasi kuliko kuwategemea wahisani ambao misaada yao inaishia kutunyonya tu na kutu didimiza
Sidhani kama unafikiri vizuri. OK umesema deni ni tirion 34 hili deni tumelipata wakati gani? Kunahajagani ya kupewa misaada ingali deni linazidi kukua?
ili waendeleze ujangiri wao au?....wale tembo na vifaru wanaouawa kwa mwamvuli wa china unatoa kauli gani mkuuMtu anakuambia anakupa msaada wakati amewekeza kwako. Dawa ya hao watu ni kuwatimua tu nchini tubaki na wachina.
wachina unawajua au unawasikia tu?Mtu anakuambia anakupa msaada wakati amewekeza kwako. Dawa ya hao watu ni kuwatimua tu nchini tubaki na wachina.
Mheshimiwa Magufuli Watanzania tupo tayari kula nyasi kuliko kuwategemea wahisani ambao misaada yao inaishia kutunyonya tu na kutu didimiza
Nimekuvuta huku ili ujionee marafiki wanavyoshirikiana kututia adabu. Sifa ya kujigamba eti tuko imara, tutakoma.WAKATI MAREKANI KUPITIA MCC WAKISUSA, CHINA WAJIPANGA KUWEKEZA KWENYE SEKTA YA NISHATI NCHINI
Wawekezaji kutoka katika makampuni yanayojihusisha na uzalishaji wa nishati ya umeme kutoka nchini China, wameeleza nia ya kuwekeza kwenye sekta ya nishati nchini ili iweze kuwa na mchango mkubwa katika ukuaji wa uchumi.
Waliyasema hayo katika kikao na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia masuala ya nishati Dk. Mhandisi Juliana Pallangyo pamoja na wataalam kutoka Wizara ya Nishati na Madini pamoja na taasisi mbalimbali ikiwa ni pamoja na Shirika la Umeme Nchini (TANESCO), Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC) na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA)
Akizungumza katika kikao hicho Mwakilishi kutoka Umoja wa Wafanyabiashara katika Jamhuri ya Watu wa China nchini Tanzania Lin Zhiyong, alisema kuwa nia ya makampuni yanayojishughulisha na uzalishaji wa nishati ya umeme ni kubaini fursa zilizopo katika sekta ya nishati nchini kabla ya kuja kuwekeza rasmi
Aliongeza kuwa ujumbe maalum wa wawekezaji kutoka nchini China unatarajiwa kuwasili nchini mapema wiki ijayo kwa ajili ya kupata taarifa mbalimbali zenye kubainisha fursa za uwekezaji nchini ikiwa ni pamoja na mpango kabambe (master plan), sera, na mpango mkakati katika sekta ya nishati, kabla ya kusaini makubaliano ya awali kwa ajili ya uzalishaji wa nishati ya umeme.
Zhiyong alisisitiza kuwa wawekezaji kutoka China wako tayari kushirikiana na wawekezaji wa ndani ya nchi kwenye uzalishaji wa nishati ya umeme ili taifa liweze kupata nishati ya uhakika kwa ukuaji wa uchumi wa nchi.
Wakati huo huo, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia nishati Dk. Mhandisi Juliana Pallangyo alishukuru ujumbe huo na kueleza kuwa fursa za uwekezaji kwenye sekta ya nishati ni nyingi na kuwataka kuchangamkia fursa hizo.
“Wananchi wanahitaji nishati ya uhakika ambayo ni kichocheo cha ukuaji wa uchumi wa nchi, hivyo tunawakaribisha kuwekeza katika uzalishaji wa nishati ya umeme kwa kuwa tuna vyanzo vingi kama vile gesi, jotoardhi, makaa ya mawe, jua, upepo n.k,” alisisitiza Dk. Palangyo.
Chanzo: michuzi
Jeuri ya hapo zamani za kale!Tuko tayari kula nyasi , kuwalamba miguu wazungu sasa basi