Nchi 10 kati ya 14 za Ulaya zasitisha msaada wa kibajeti kwa Tanzania

Umetoa wapi hii taarifa? Tuko tayari kula nyasi , kuwalamba miguu wazungu sasa basi
Kama kweli umeamua kufanya maamuzi magumu, basi achana na imani za kimungu maana ni kuwalamba miguu pia. Nafurahi kuona mnaanza kufunguka
 
Umeweka uzi wako kibavicha zaidi, weka hizo nchi hapa na kiasi!
Pia tuwekee source, reliable source!

Zimbabwe kulikuwa na kasuku kuliko ww waliokuwa wakiimba ngonjera za ZANU-PF lakini leo hii wananchi wa Zimbabwe wanakula unga wa "kwa hisani ya watu wa USA" na nchi yao imebaki kuwa kichekesho mbele ya walimwengu
 
Membe na JK walitupiga bei kwa Wazungu.. huitaji kuwa na PhD kuling'amua hilo.
Pamoja na hilo lako...tukubali nusu shari kuliko full shari.naona tutapata shida hata hiyo elimu bure itakwama....by the way kwani kuna ulazima gani wa ZNZ miaka hii ya 2016....watatuponza saana.
 
Fedha za bajeti zinazotoka zote kwa nchi hii kila mwaka ni Mishahara tu, zingine hizi ni kujaza makaratasi tu kwamba serikali imebajeti. Tuwe wa kweli, kusema hatutaki misaada tutajitosheleza na mapato ya ndani tu kwa hapa tulipo sio rahisi. Makusanyo ya kodi tunayotegemea yanakuwa limited na uzalishaji mdogo uliopo.
 
Mbona hata hiyo misaada wanayotuahidi hela hawatoi? Japokuwa hii umeileta kiumbea sana.
 
Tanzania tutegemee kuingia kwenye shida ya kiuchumi. Wale washirika wetu wa maendeleo yaan zile nchi za ulaya. Kwa kauli ya pamoja wamesitisha misaada katika nchi yetu.

Tukumbuke misaada yao inaingia moja kwa moja kwenye bajet!! Wanaojua hatujitoshelezi. Kimaneno tunajitosheleza kwa 60% kivitendo hatuzid 40%.Ni zaid ya ile MCC. Maamuzi hayo yamekubaliwa na nchi 10 kati ya 14 za Umoja wa ulaya.

Swali kwa watawala hata hizo milijua hamtapewa mlijiandaa kujitegemea??
Maana ya MCC nilimsikia msemaji wa wizara ya fedha anasema waljua haztakuja hawakuziweka kwenye bajet.
Je na za washirika wa maendeleo hamkuziweka???

Wananchi mnatwambia tufunge mikanda suruali zetu zinavyotupwaya wakati nyie mnashindwa Hata kufunga vifungo vya makot kwa vitambi.
IMG-20160331-WA0009[1].jpg
 
Huu unafiki sijui utaisha lini....Wengi walikuwa wanaponda kutegemea misaada, leo hii MCC kusitisha misaada wanalialia umeme utafika lini vijijini!
 
Mmeshazoea maigizo mnashindwa kufikiri nje ya box
Tena ving'ang'anizi kwelikweli wa hayo maigizo. Wakiona hawana hoja za kupinga kutetea maigizo yao wataanza kuvuruga mada kwa kushambulia TYIPING MISTAKE. hapa watatoa mapovu ukiwafuata kwa kujibu hoja zao tayari wamevuruga mada. Hii ndio mbinu yao hasa huyu na Fox
 
Kwa hiyo viongozi hawa wa sasa ni wapya kabisa, sio recycled kabisa, ni brand new batch ya watu wenye busara, weledi na maono...
Akili za bavicha ni kwamba viongozi wapya ni kina mbowe!
Mkaombe ktk nyumba za ibada mtolewe hilo pepo, Mbowe kawamaliza!
Uongozi wa JPM ni mpya na unatiririka kama maji toka juu mpaka chini!
 
uzi ufungwe namfahamu mleta mada anakaa rum namba 100 gorofa ya pili lile jengo la kushoto ukiingia pale mirembe hospitali.
 
Hujui ulisemalo, akina Mtei, Seif, Lowassa na wapuuzi wengine walikuwa huko huko, nini cha maana walichokuja nacho huko?

Mhhhh ilishakuwa about lowasa tena.... walichokuja nacho wapi? Hivi mtei hakuondokaga huko baada ya kujaribu kushauri sana...mhhh...labda sijui nilisemalo.
 
Tena ving'ang'anizi kwelikweli wa hayo maigizo. Wakiona hawana hoja za kupinga kutetea maigizo yao wataanza kuvuruga mada kwa kushambulia TYIPING MISTAKE. hapa watatoa mapovu ukiwafuata kwa kujibu hoja zao tayari wamevuruga mada. Hii ndio mbinu yao hasa huyu na Fox
Bavicha ktk ubora wako. Pumba!!
 
Back
Top Bottom