Nchemba acharuka bungeni. Ataka kujua ripoti ya mnyika leo bungeni

kubwabwaja kutaisha sasa bunge sio sehemu ya kijiweni,chadema wakiambiwa wanatafuta umaarufu binafsi wanakataa! sasa Mnyika kakosa ushahidi mnyika ni mjinga mdhaifu!
 
Ni jambo ambalo nina uhakika nalo kwanini niliache linyamaziwe kimya. Tuhuma nzito kama hiyo nikiinyamazia nitakuwa wa ajabu sana wakati imetokea nikiwa sio mwajiriwa BOT. KAMA KUNA ZILIZO ACHWA NI HIZO NA SIO MWENDELEZO. KAMA ALITELEZA ASEME KAMA NI UELEWA ASEME LAKINI MIMI NA EPA TUKO MBALI KAMA MBINGU NA NCHI.

1. Kwani Mnyika kashindwa kuwasilisha uthibitisho wake?

2. Mbona unatanguliza vidokezo aseme kwa nini usisubiri huo uthibitisho uliowasilishwa?

3. Before some of us wewe upo out of touch kwa kujiamini kuwa wewe na chama chako ni malaika hamkosei

4. Hoja ya kuwa hukuwepo wakati wa kuasisi EPA haikuondolei ushiriki wako kwenye EPA kila mtu anajua ulimanage hizo pesa kama mhusika wa mafungu ya CCM.

5. Mnalipotosha sana Bunge kwa kujaribu kudhibiti kila asemalo mtu wa upinzani; ni mkakati mufilisi kwani baadhi yetu tunaona jitihada zenu kama za mfa maji. Kanuni kwa mbunge wa CCM zinatumika tofauti na za wabunge wasio wa CCM.

6. Endleeni na kutafuta visa humo bungeni ili mradi tunapata fursa ya kuwabaini mlivyo.
 
kubwabwaja kutaisha sasa bunge sio sehemu ya kijiweni,chadema wakiambiwa wanatafuta umaarufu binafsi wanakataa! sasa Mnyika kakosa ushahidi mnyika ni mjinga mdhaifu!

Kauli zako ni kama za mwanamke malaya aliyekopwa, thibitisha ujinga wa Mnyika; mmejitosa kumchafulia lakini hamuwezi. Mlimfanya hivi hivi Zitto mkaishia kuumbuka, hata hapa mtafanya mtakachofanya na hukumu yenu inawasubiri.
 
"mnyika alidai kuwa mh nchemba alihusika na EPA. mnyika ameleta ushahidi ambao ni maelezo mafupi. suala hili nalipeleka kwenye kamati ya maadili ya bunge, watapitia ushahidi wa mnyika kisha wote wataitwa kuhojiwa na kamati. matokeo ya kamati tutafahamishwa" alisema ndugai

Kama naibu spika ameshindwa kulitolea muongozo suala hilo na kuamua kulipeleka katika kamati ya uongozi, na wabunge wote wawili Mnyika na Nchemba wataitwa kwa ajili ya mahojiano, sina sababu ya kutoamini kwamba ushahidi aliowasilisha Mnyika umejitosheleza na ndio maana naibu spika ameshindwa kutoa uamuzi moja kwa moja.

Kwa kumbukumbu za haraka haraka maswala yanayopelekwa kujadiliwa na kamati ya uongozi huwa yanaishia humo humo kwenye kamati, na mara nyingi yamekuwa ni yale yenye madhara kwa chama tawala, serikali yake na wabunge wake. Mathalani suala la wabunge wa ccm walio katika kamati ya huduma za jamii kuomba rushwa katika halmashauri kama lilivyosemwa na Kafulila, suala la mzee wa liwalo na liwe kusema uongo bungeni lililosemwa na Godbless Lema, na mengine mengi hayakuwahi kutolewa majibu na ofisi ya spika.


Anachofanya Mwigulu LM Nchemba ni kujaribu kujiwekea mazingira ya kuwaaminisha watu kwamba hahusiki kwa kuulizia mara kwa mara, ili watu wasiotaka kufanya tafakuri ya kina waamini kwamba Mnyika hana ushahidi wowote.
 
Last edited by a moderator:
1. kanuniya 5 (1) ambayo inasema kuwa “katikakutekeleza majukumu yake yaliyotajwa katika ibara ya ya 84 ya katiba , spikaataongozwa na kanuni hizi ……….”

2. kanuniya 63 (2) “ mbunge yeyote anapokuwa akisema bungeni hatachukuliwa kuwa anasemauongo iwapo anafanya rejea ya habari kuhusu jambo fulani lililotangazwa aulililoandikwa na vyombo vya habari”

3. kanuniya adhabu : Hii ni kanuni ya 73 (3) “endapo mbunge yeyote atatakiwakuthibitisha ukweli wa jambo au suala alilolisema bungeni na hadi kufikiamwisho wa muda aliopewa amekataa au ameshindwa kutoa uthibitisho huo,spikaanaweza kumsimamisha mbunge huyo kuhudhuria vikao vya bunge visivyozidi vitano”

4. kanuniya kupelekwa kamati ya haki, maadili na madaraka ya bunge ni 74(1) “spikaanaweza kutaja jina la mbunge kwamba amedharau mamlaka ya spika na kasha kupelekajina hilo kwenye kamati ya haki,maadili na madaraka ya bunge…..”

tunashukuru kwa shule kiranja!
 
tumia akil yko vizuri unapoandika. mtu kusema uongo bungeni, kama ni muadilifu anafaa kujiuzulu. pale hatupeleki watoto ambao hata hawajui familia inaendeshwa vipi. kupayuka na kubwabwaja si mahala pake bungeni. ataendelea kuwa mbunge lkn wanaomuamin watapungua! hadhi yake itashuka. vile na wewe bado unalishwa hujui majukumu ni nini huwezi kuelewa maana ya hadhi katika jamii.

Pinda alibwabwaja uongo, na ushahidi ukapelekwa na Lema, mbona hakujiuzulu?
Kamati ya maadili ya bunge haina tena moral authority ya kuhukumu mtu yeyote bungeni, until watakapotoa hukumu ya ushahidi wa Lema, ushahidi wa Lissu na ushahidi wa Zitto. Kama huamini, subiri uone kama wataliongelea tena suala la Mnyika...
 
Kama kuna mtu anatia huruma bungeni ni mnyika. akijazwa kwenye screen ya tv unaona wazi dalili za msongo wa mawazo.

UTOTO WA MNYIKA TOKA ZAMANI
1-huyu mtoto aliwahi kwenda tume ya uchaguzi na kwa msajili wa vyama akiomba kikwete aondolewe kwenye kinyan'ganyiro cha urais 2010.

2- Huyu mtoto aliwahi kutamka wazi bungeni kuwa rais ni dhaifu na wabunge wote wa CCM ni mataahira. kabla ya ubunge midomo yake ilikua imenyooka vizuri. baada ya ubunge, midomo imeanza kupinda na hutetemeka azungumzapo. Dokta mmoja ameniambia kuwa hiyo ni gradual stroke. akaniambia kuwa siyo midomo tu. kupinda huko kunaanzia kwenye ubongo. namshangaa kuona anawaita wenzake mataahira anasahau kuwa yeye ndiyo taahira haswa.

3- huyu mtoto wiki iliopita amemtuhumu Nchemba kuwa alishiriki kukwapua fedha za EPA.

naomba akapelekwe India, Cuba, Brazil au Uingereza akachunguzwe akili
 
mnyika karopoka inabidi awe mwangalifu kipindi kijacho.....hakuna haja ya kupoteza muda kuteteana wakati jambo liko wazi kabisa hapa
 
Sishangai ksbb nimeshawahi kuona pia mfano katika maswali ya True/False swali linalohitaji jibu la True mtu akaandika False.....ndo upeo wake ulipoishia,sasa afanyeje...ndo sawasawa na wewe.
Tatizo lako Ndg upeo wako wa kufikiri ni mfupi sana unatakiwa ufikirie kwa mapana majibu na maswali yanayotakiwa kuulizwa na kujibiwa katika swala zima la wizi wa fedha za EPA, kwanza mi nafikiri we ni Mzenji ndo maana mambo yetu ya Bara(Tanganyika yanakuchanganya)
 
CCM na CDM yote maputo waropokaji bungeni nchemba na mnyika ni kama watoto wanachez kombolela achen umarufu w mayai viza
 
Inaweza kuwa ngumu kwa Mnyika kuthibitisha uhusika wa Nchemba lakini sitategemea kuona Ushahidi ukisomwa mbele ya wabunge. Haya yanawezekana;

a) Kwa kutoridhisha kuwa Nchemba amehusika, Mnyika atakuwa amesema uongo na atakuwa suspended. Hatakiwi mjengoni!
b) Jambo hili kuachwa bila adhabu yoyote kwa Mnyika lakini ikasemwa kuwa ushahidi ni dhaifu. Hofu itakuja kwa wabunge wa Chadema kudai maelezo ya Lema na Zitto yatolewe na adhabu kwa wahusika itolewe kwa kipimo sawa na atachopewa Mnyika.

Kwa mbali naona jambo hili litapita tu kama yalivopita EPA, Richmond, Dowans na washirika wake!! Kumbukeni EPA ni moja ya sehemu ambapo CCM hataki kurudi! Na namna ya kutorudi ni kumaliza mambo kimya kimya. Naichukulia hii kama "case closed". Nitashangaa nikisikia hata hiyo taarifa ya Kamati ya Nidhamu, achilia mbali adhabu kwa Mnyika.

Hoja ya Nchemba pia haina mashiko maana si kila waliohusika na EPA walikuwa wafanyakazi wa BoT, akina Rajabu Marandu hawajawahi hata kufanya kazi benki yoyote, na wala si lazima kuwa TZ ili uhusike na EPA maana wengine walikuwa India na Pakistani na wakahusika na EPA. Kwani Nchemba hajui kuwa vikao vya ndani ya chama chake ndo viliazimia kuzi-EPA pesa za watanzania? Nchemba kama mwana CCM anahusika maana bila hivyo wasingemwingiza katika nafasi hiyo nyeti ndani ya CCM ili awalinde wahusika zaidi wa EPA na huku ni kuhusika kukali zaidi
 
Mchemba wewe utakuwa mbunge wa huko kwenu wasikojua lolote, ukiwapa kofia, kagha, wali basi umeshinda uchaguzi. kama unajiamini njoo ugombee UBUNGO 2015 kama hutapata kura mbili, kama unabisha muulize dada yako kilichompata, . Mnyika hahitaji umaarufu cause tayari ni staa.... your low....

Namkumbuka mzee Sitta na Bunge lake la viwango, kweli tumekwisha kwa sasa.
 
Hoja ya Nchemba pia haina mashiko maana si kila waliohusika na EPA walikuwa wafanyakazi wa BoT, akina Rajabu Marandu hawajawahi hata kufanya kazi benki yoyote, na wala si lazima kuwa TZ ili uhusike na EPA maana wengine walikuwa India na Pakistani na wakahusika na EPA. Kwani Nchemba hajui kuwa vikao vya ndani ya chama chake ndo viliazimia kuzi-EPA pesa za watanzania? Nchemba kama mwana CCM anahusika maana bila hivyo wasingemwingiza katika nafasi hiyo nyeti ndani ya CCM ili awalinde wahusika zaidi wa EPA na huku ni kuhusika kukali zaidi

Uko sahihi kabisa. Uhusika wa EPA pia haina maana ya wizi wenyewe au kufaidika na pesa. Hata kuficha ukweli kuhusu mbinu zilizotumika, majina ya wahusika nayo ni makosa ya kuhusika au kushiriki. Kwa tafsiri hii ni wengi wanahusika na hata JK aliyewaomba warudishe fedha nae anahusika!!!

Mnyika is very smart. Ameweka wazi kwenye maandishi kuwa ombi la kuwasilisha maelezo ya uhusika wa Nchemba lisingeweza kuthibitishwa kwa sababu aina ya uhusika hakuwa ameieleza Bungeni. Nchemba kwa taharuki alidhani anaambiwa yeye ni mmoja wa "walioiba" zile fedha!! Uhusika wake ni tofauti na hivo Mnyika asingekuwa na maelezo ya uhusika wa wizi!! Nadhani Mnyika alikusudia kusema ajira ya Nchemba ilikuwa na malengo ya kudhibiti au kupoteza ushahidi wa wizi wa EPA, au kuzuia ushahidi na taarifa kujulikana. KAGODA ni project ya wakubwa, ni lazima trusten protege awekwe kulida maslahi hayo. Ninadhani Mnyika alitaka kusema hili na hakufikia kulisema, akawa ameombwa kuthibitisha!

Daaamnn!!
 
Back
Top Bottom