Karibuni masijala
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 409
- 135
Wanabodi
Ushauri huo umetolewa na Mwenyekiti wa chama hicho Mhe. Mbatia alipozungumza na wandishi wa habari ofisini kutokana na yaliyotekea pia huko mbagala. Jukumu la kudumisha umoja wetu na amani katika nyumba yetu kwa kuziba nyufa ya udini inayotaka kubomoa Tanzania yetu ni letu sisi sote.
Wanajamii forums hebu tutoe ushauri, maoni kutatua hili kwa kujibu swali hili nini kifanyike kuepuka machafuko ya udini.
NCCR Wameshauri Rais akae na viongoz wa dini, Vyama vingine mnasemaje, Viongozi wa Dini, wandishi wa habari na Wanajamii kupitia jamvi hili litakalowafikishia ushauri na maoini yako.
Ushauri huo umetolewa na Mwenyekiti wa chama hicho Mhe. Mbatia alipozungumza na wandishi wa habari ofisini kutokana na yaliyotekea pia huko mbagala. Jukumu la kudumisha umoja wetu na amani katika nyumba yetu kwa kuziba nyufa ya udini inayotaka kubomoa Tanzania yetu ni letu sisi sote.
Wanajamii forums hebu tutoe ushauri, maoni kutatua hili kwa kujibu swali hili nini kifanyike kuepuka machafuko ya udini.
NCCR Wameshauri Rais akae na viongoz wa dini, Vyama vingine mnasemaje, Viongozi wa Dini, wandishi wa habari na Wanajamii kupitia jamvi hili litakalowafikishia ushauri na maoini yako.