Kweli kabisa, Lakers wametota.There's no coming back here.
Lakini mkuu timu yako si Celtics, ambayo imeangukia pua baada ya ku-snap 4th quarterLakers ndio basi tena
Sasa,kesho nitamwamkia tofu-turkey wangu kwa unafuu kidogo.
Lakini mkuu timu yako si Celtics, ambayo imeangukia pua baada ya ku-snap 4th quarter
Ha ha ha..el Heat utawataka..naona lakers wanapelekeshwa na spurs leo, wakichapwa na hii itakuwa wamefungwa tatu mfululizo