- Vipi leo? Naona kama Lakers tayari wameshinda hawa Magic kumbe ni wadosi yaani watupu hawana lolote, heshima kwa Kobe kwa kweli kijana anastahili heshima kubwa sana na ni mfano wa kuigwa kwamba work hard na nidhamu mbele pamoja na uvumilivu, utafanikiwa tu maana bado Mungu ni yule yule wa mababu zetu.
- Lakers 3 Mgic 0!
Respect.
FMEs!
Hii ita muaibisha sana Lebron James. Timu iliyo msumbua ina aibishwa na Kobe & Co. Nadhani kwa sasa hamna haja ya debate nani ni mkali kati ya KB na LJ.
Turkoglu anaonesha kwa vitendo..this is our house..
Halftime Orlando wako juu 59 - 54.
Mkuu,Yep..LAL are going to lose 2day.
Mkuu,
kumbuka kuna KOBE BRYANT ambaye ana uwezo wa kuchange
matokeo especially in the fourth quarter.Hata hivyo tusubiri tuone.
wapemba wanajua kikapu?Howard is totally hacked..lol