kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,186
- 16,193
Yaani alizoea hata asipokwenda kituo cha kazi ruzuku inaingia chamani a/c ya ofisi yake inatuna ni yeye na kwenda Asia na Dubai,S.A kula bata lakini kwa hili lililotokea naona kila kitu kimefutika tunarudi kutegemea mission town daah siasa mchezo hatari sana hasa ukipambana na wazee wa strategic wacha tuone maisha bila STK yatakuweje!