kwi kwi kwi kwiiiiiiii....dah jaman maoni mengine inabidi uandae mbavu!!!!Ok nadhani ni ushauri mzuri,mtoto zake bakora adabu itamkaa.Ni sehemu ya nchi yetu eti, ni kuwatandika fimbo tu watulie sio kupunguza sehemu yetu.
Wanayo sababisha hizo vurungu hujui kama ni muungano ? Jesho liliopo zanzibar hujui kama la muungano ? Sababu ya kukamatwa kwa shekh wa wazanzibari hujui kama alikuwa na msimamo juu ya muungano ?Ndugu zangu, tangu machafuko yaanza Zanzibar, Wazanzibari wengi tangu jana wanamiminika kwa wingi sana hapa Dar es Salaam. Nimekaa bandarini, meli zinazotoka Unguja zimejaa hadi pomoni, lakini zinazoenda hazina watu wengi. Naambiwa wanakimbia machafuko ya wana Uamsho. nadhani huu ni wakati mzuri wa kuwazuia kuingia huku Bara ili watambue thamani na lulu ya kuwapo Muungano. Tangu vurugu zianze, naambiwa Wazanzibari wengi sasa wanasema heri Muungano udumu milele.
Ushauri: Tuwazuie kuingia Bara ili walau waonje adha za kuuvunja Muungano. Wenzangu mnasemaje?
Tatizo la ZNZ ni la kijamii na kisiasa! Likipamba moto ndio hukusanya makanisa na muungano. Kuna umasikini mkubwa ZNZ familia chache za wanasisa ndio wanaishi wengine wana survive tu. Na hili ndio linatapikia Bara, Vijana na asilimia kubwa ya watu wamechoka nyie wachache ndi mafisadi, mafisadi to be, na aspirant to be mafisadi unategemea nini ukichanganya na dharau kwa dini zisizo zenu??Inakuwaje suala la kupotea shekhe wao hasiri zinaishia kwenye kuchoma ofisi za ccm ,hapo moja kwa moja kuna jambo liko nyuma ya pazia..hiki kikundi cha uamsho ni jina tu laki lengo na madhumuni yake ni siasi .
Dawa ya wazanzibari ni kuwatoa wote. Waletwe huku bara na kpangwa kila mkoa wazanzibari 46,000. Wasikae kijiji kimoja wawili La! Kila kijiji mmoja tu anatosha. Kama ni mke basi aolewe alipo na kama ni mume aozwe alipofikia.Watolewe watu Bara wakijaze Z'bar na kundi jipya. Z'bar itabaki kuwa wilaya moja ya Bara na confyoo yote itakwisha. Muungano umedumu muda wa kutosha kama suruali sasa. Mbona hakuna anayesema wazeewetu walivaa ngozii na magome ya miti tudumishe milaaa. Tumechoka na kelele zao sasa. Tufike mahali zikomeshwe mara moja na mwisho kabisa.
Umembeba nani wewe mngese umembeba mkeo na familia yako! Aina ya watu wenye upeo mdogo kama wewe ndio mtachelewesha ukombozi wa nchi hii...nakubaliana na atakeamua kukuchinja wewe ****, think critically, haya maneno yanayotoka nadhani sehemu yako ya kunyea ndio yanatugawa na kufanya hao magamba wanaochochea hizi vurugu wafurahi na kwa hivi watashinda kirahisi 2015.Halafu ukikaa chini unaona eti CDM itachukua nchi 2015 my ass!!Shule ndogo na hata tuliowabeba bara bado awana uwezo wa kuwasaidia wenzao watafanyaje zaidi ya kuuana