The blessed one1
Member
- Dec 13, 2023
- 30
- 106
Wakuu kwema
Naombeni ushauri wa kimawazo , mimi nilikosa tuition fee nina bumu tu.
Kozi yangu ni ya miaka mitano , uwezo wa kiuchumi upo chini, nilikata rufaa kuomba mkopo upya sikupata .
Nawaza labda Kuna namna pesa hii ya meal and accomodations inaweza tumika kwenye biashara fulani then ikanisaidia kulipa ada,
Awali nilikopa ada , bumu lilipokuja nikalipa nikakopa tena.
msaada wa kimawazo naombeni.
Naombeni ushauri wa kimawazo , mimi nilikosa tuition fee nina bumu tu.
Kozi yangu ni ya miaka mitano , uwezo wa kiuchumi upo chini, nilikata rufaa kuomba mkopo upya sikupata .
Nawaza labda Kuna namna pesa hii ya meal and accomodations inaweza tumika kwenye biashara fulani then ikanisaidia kulipa ada,
Awali nilikopa ada , bumu lilipokuja nikalipa nikakopa tena.
msaada wa kimawazo naombeni.