WanaJF ndugu yenu nina mkwamo nahitaji kufanya biashara kidogo. Naomba kwa anayeweza kunisaidia mkopo wa elfu 50. Mimi dhamana yangu cheti cha kidato cha nne na cha sita. Nakaribisha ujumbe wa meseji inbox kwa atayeguswa kunisaidia wakubwa zangu.
Msimkatishe mdau tamaa, amesema dhamani ya kile anachokiona cha thamani kwake na bei anayotaka ni 50k, huwezi jua ukimpatia hiyo amount utakua umemkwamua kiasi gani. Mwenye nayo ampatie tu jamaa, unaweza kuifanya kama sadaka tu ama fungu la kumi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.