Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,845
Mo alipokuwa mdhamini wa Simba club ilifanya vzr kimataifa kumbuka 2003, ilo moja mbili unachopinga ww ni nn haswa? Kwan ata Mo asingeichukua Simba unahc Simba inge improve? Mboma miaka yote mambo ni yale yale tuu
mimi napinga timu za wanachama kuuzwa kwa bepari mmoja.
hivi hamjiulizi barcelona na madrid kwanini haziuzwi ?
hivi hamjiulizi kwa nini ilipouzwa manchester united mashabiki wakaenda kuanzisha FC united of manchester?