Asha Vandamme niko hap niumie PM tupeane michongo
Bado hujalala tu wewe Lulu?au ndio umejikuza ili upate uduma ya pombe bar?ok mamako mzima?mwambie unasalimiwa na anko,akikuuliza tulipokutania mwambie tulikutana dukani ulinvoenda kununua sabuni.Tukaze buti kuzitafuta,then nikipata adrss yake ntakupatia,
ila unaweza kula?,
Maana ni dume!!!
Tukaze buti kuzitafuta,then nikipata adrss yake ntakupatia,
ila unaweza kula?,
Maana ni dume!!!
A a! Ntakufichia siri BAGAH!1
We ntafute tu,
Bado hujalala tu wewe Lulu?au ndio umejikuza ili upate uduma ya pombe bar?ok mamako mzima?mwambie unasalimiwa na anko,akikuuliza tulipokutania mwambie tulikutana dukani ulinvoenda kununua sabuni.
Jamani wana Jf, (Maana Jukwaa hili nalo pana) kama kuna yeyote anayewafahamu watu hawa (Nadhani watakuwa wakubwa maana tulisoma nao enzi hizooo S/msingi Ligula 2003) awasiliane na mimi,
1. Asha VanDamme,
2. Amina Ntawanya,
3. Catherine Commando,
4. Fredrick Chungulia,
5. Mshosha Kibila,
6. Chatu Walala,
7. Shombo Mchomeke,
8. Nguruka Kinabo,
9. Kichale Kikukuma na,
10. Palizi Mpannji,
Awasiliane nami,
Unataka kujua mkoa gani, pitia majina vizuri.
Kha!we ntoto wewe.......vibaya vivyo ati...ebu vaa khanga uje unitandikie kitanda kha!umechezwa lini weye "mmakonde"?Mimi mtoto wa geti,situmwi dukani,anaendaga anti...anti Asuu!!! Labda nimpe huyo salamu zako!
Huyu no7 namjua,nipe Tigo yako nikuelekeze anapopigia mzigo?Jamani wana Jf, (Maana Jukwaa hili nalo pana) kama kuna yeyote anayewafahamu watu hawa (Nadhani watakuwa wakubwa maana tulisoma nao enzi hizooo S/msingi Ligula 2003) awasiliane na mimi,
1. Asha VanDamme,
2. Amina Ntawanya,
3. Catherine Commando,
4. Fredrick Chungulia,
5. Mshosha Kibila,
6. Chatu Walala,
7. Shombo Mchomeke,
8. Nguruka Kinabo,
9. Kichale Kikukuma na,
10. Palizi Mpannji,
Awasiliane nami,
Unataka kujua mkoa gani, pitia majina vizuri.
Cjui kama wanajua kitu kinachoitwa FB!
Khaa!leo huendi shule we katoto?Tigo yangu inasumbua,majamaa wameichezea sana mpaka wakai-block,
ila ucjali nina mbadala wa Tigo utauweza?
Ila ctak kusikia kidole kimechoka kuperuzi na kudads!!