Nawashangaa wanaopoteza muda kuwapigania Watanzania

ITR

JF-Expert Member
Sep 22, 2022
4,445
11,336
Mwanafalsafa wa JF bwana Teikon alishasema usimuonee huruma wala kumtetea masikini na mpumbavu maana unapoteza muda na huenda ukapoteza Uhuru na maisha yako bure na kusiwepo mabadiliko yoyote.


Sasa hii ndo maana halisi ya Watz, watz ni jamii isiyojua wanataka nini.

Kipindi cha nyuma kidogo watu walikuwa wanashinda kwenye mitandao ya kijamii wanalalamika kuwa wapinzani wamekaa kimya wakati nchi imejaa rushwa, mfumuko wa bei, uuzwaji wa bandari, mara wamelambishwa asali, sijui maneno gani mengi tu, lakini cha kushangaza leo hii Mbowe ameamua apaze sauti ya matatizo yanayowakumba watz na kuweka shinikizo la serikali iweze kuyatatua watu lakini hao hao waliokuwa wanalalamika wapinzani kukaa kimya ndo hao hao ambao wapo wanamtukana Mbowe na kumdhihaki, na wakati huo huo ndo wanashinda humu wanalalamika maisha magumu. Hivi waTz tuna akili kweli?

Leo Lissu anaamua kuikosoa Serikali juu ya ugumu wa maisha kwa waTz linatokea jitu moja linasema eti Lissu ni mpiga kelele na mganga njaa.

Hilo jitu linalomuita Lissu mganga njaa unakuta linaishi Mbagala rangi 3 limepanga chumba kimoja, watoto wa lenyewe wanasomea kayumba darasa kama banda la nguruwe na bado hilo darasa lina wanafunzi zaidi ya 150, sale za shule za watoto wa lenyewe zimejaa viraka, mlo wao wa kila siku ni mihogo ya ulojo na utumbo wa kuku.

Wakati huyo Lissu linalomuita mganga njaa mwenyewe anatembelea gari la milioni 400, kwake ndege ni kama daladala, yeye na watoto wake wanaishi kwenye majumba ya kifahari, watoto wake wanasoma Ulaya, wanakula wanachokitaka.

Lissu kipindi anakosoa uvunjwaji wa kiholela wa mikataba bila kufuata sheria kuliko kuwa kunafanywa na Magufuli watu walikuwa wanamshambulia kwa matusi na kila aina kashfa na dhihaka, lakini leo hii Serikali ipo inalipa fidia za upuuzi wa jiwe kwa mabilioni ya fedha za kodi za hao hao walio kuwa wanamkashifu Lissu.

Mimi siyo muumini wa sera za Chadema lakini itoshe kusema kuwa Watz ni jamii iliyojaa masikini na wapumbavu na mara zote umasikini ni laana, hivyo watz tulio wengi ni wajaa laana sasa ukiwatetea watu wenye laana na wewe unalaaniwa.
 
Mwana falisafa wa jf bwana Teikon alisha sema usimuonee huruma wala kumtetea masikini na mpumbavu maana unapoteza muda na wenda ukapoteza Uhuru na maisha yako bure na kusiwepo mabadiliko yeyote.
Sasa hii ndo maana halisi ya Watz ,watz ni jamii isiyo jua wanataka nn. Kipindi cha nyuma kidogo watu walikuwa wanashinda kwenye mitandao ya kijamii wana lalamika kuwa wapinzani wamekaa kimia wakati nchi imejaa rushwa, mtumko wa bei , uuzwaji wa bandari ,mara wamelambishwa asali, sijui maneno gani mengi tu , lakini cha kushangaza leo hii Mbowe ameamuwa apaze sauti ya matatizo yanayo wakumba watz na kuweka shinikizo la serikali iweze kuyatatua watu lakini hao hao walio kuwa wanalalamika wapinzani kukaa kimia ndo hao hao ambao wapo wanamtukana mbowe na kumdhihaki , na wakati huo huo ndo wanashinda humu wanalalamika maisha magumu hivi waTz tuna akili kweli?

Leo Lisu ana amuwa kuikosoa serikali juu ya ugumu wa maisha kwa waTz linatokea jitu moja lina sema eti Lisu ni mpiga kelele na mnganga njaa.
Hilo jitu linalo muita Lisu mganga njaa unakuta linaishi Mbagala rangi 3 limepanga chumba kimoja , watoto wa lenyewe wanasomea kayumba darasa kama banda la nguruwe na bado hilo darasa lina wanafunzi zaidi ya 150, sale za shule za watoto wa lenyewe zimejaa viraka, mlo wao wa kila siku ni mihogo ya ulojo na utumbo wa kuku.
Wakati huyo lisu linalo muita mganga njaa mwenyewe anatembelea gari la milioni 400 , kwake ndege ni kama daladala ,yeye na watoto wake wanaishi kwenye majumba ya kufahari, watoto wake wana soma Ulaya ,wanakula wanacho kitaka.

Lisu kipindi anakosoa uvunjwaji wa kiholela wa mikataba bila kufuata sheria kuliko kuwa Kuna fanywa na Magufuri watu walikuwa wanamshambulia kwa matusi na kila aina kashifa na dhihaka, lakini leo hii serikali ipo inalipa fidia za upuuzi wa jiwe kwa mabilion ya fedha za kodi za hao hao walio kuwa wanamkashifu lisu.
Mm sio muumini wa sera za Chadema lakini itoshe kusema kuwa Watz ni jamii iliyo jaa masikini na wapumbavu na mara zote umasikini ni laana, hivyo watz tulio wengi ni wajaa laana sasa ukiwatetea watu wenye laana na ww unalaaniwa.
Tatizo la Tanzania sio wananchi, kuwa ni wajinga au wapumbavu. Tatizo ni mifumo. Unaweza kuiondoa CCM madarakani na ikaingia CDM au ACT wakawa, wabaya zaidi, ndio maana watu wengi wapo dillema. Bado vyama hivi sio vya public ni vya watu binafsi. Viongoz wao ni wa muda mrefu, hawana democracy. Je wakichukua nchi tutapona?? Tunahitaji kujenga mifumo bora ya kuwa na vyama vya public. Tunahitaji vyama vipya sio hivi.
 
Mwana falisafa wa jf bwana Teikon alisha sema usimuonee huruma wala kumtetea masikini na mpumbavu maana unapoteza muda na wenda ukapoteza Uhuru na maisha yako bure na kusiwepo mabadiliko yeyote.
Sasa hii ndo maana halisi ya Watz ,watz ni jamii isiyo jua wanataka nn. Kipindi cha nyuma kidogo watu walikuwa wanashinda kwenye mitandao ya kijamii wana lalamika kuwa wapinzani wamekaa kimia wakati nchi imejaa rushwa, mtumko wa bei , uuzwaji wa bandari ,mara wamelambishwa asali, sijui maneno gani mengi tu , lakini cha kushangaza leo hii Mbowe ameamuwa apaze sauti ya matatizo yanayo wakumba watz na kuweka shinikizo la serikali iweze kuyatatua watu lakini hao hao walio kuwa wanalalamika wapinzani kukaa kimia ndo hao hao ambao wapo wanamtukana mbowe na kumdhihaki , na wakati huo huo ndo wanashinda humu wanalalamika maisha magumu hivi waTz tuna akili kweli?

Leo Lisu ana amuwa kuikosoa serikali juu ya ugumu wa maisha kwa waTz linatokea jitu moja lina sema eti Lisu ni mpiga kelele na mnganga njaa.
Hilo jitu linalo muita Lisu mganga njaa unakuta linaishi Mbagala rangi 3 limepanga chumba kimoja , watoto wa lenyewe wanasomea kayumba darasa kama banda la nguruwe na bado hilo darasa lina wanafunzi zaidi ya 150, sale za shule za watoto wa lenyewe zimejaa viraka, mlo wao wa kila siku ni mihogo ya ulojo na utumbo wa kuku.
Wakati huyo lisu linalo muita mganga njaa mwenyewe anatembelea gari la milioni 400 , kwake ndege ni kama daladala ,yeye na watoto wake wanaishi kwenye majumba ya kufahari, watoto wake wana soma Ulaya ,wanakula wanacho kitaka.

Lisu kipindi anakosoa uvunjwaji wa kiholela wa mikataba bila kufuata sheria kuliko kuwa Kuna fanywa na Magufuri watu walikuwa wanamshambulia kwa matusi na kila aina kashifa na dhihaka, lakini leo hii serikali ipo inalipa fidia za upuuzi wa jiwe kwa mabilion ya fedha za kodi za hao hao walio kuwa wanamkashifu lisu.
Mm sio muumini wa sera za Chadema lakini itoshe kusema kuwa Watz ni jamii iliyo jaa masikini na wapumbavu na mara zote umasikini ni laana, hivyo watz tulio wengi ni wajaa laana sasa ukiwatetea watu wenye laana na ww unalaaniwa.
Kwanza kabisa, ume generalize na ku assume sana.
 
Tatizo la Tanzania sio wananchi, kuwa ni wajinga au wapumbavu. Tatizo ni mifumo. Unaweza kuiondoa CCM madarakani na ikaingia CDM au ACT wakawa, wabaya zaidi, ndio maana watu wengi wapo dillema. Bado vyama hivi sio vya public ni vya watu binafsi. Viongoz wao ni wa muda mrefu, hawana democracy. Je wakichukua nchi tutapona?? Tunahitaji kujenga mifumo bora ya kuwa na vyama vya public. Tunahitaji vyama vipya sio hivi.
Mkuu mfumo imara unajengwa na jamii inayo jielewa na sio hii ya watz isiyo jua inataka nini,jamii yetu imejaa , unafiki,wivu, fitina ,uvivu ,uzinzi, ulevi.
 
Wabongo hawajielewi
Mfano Lisu leo hii akiamuwa kuhamia CCM ana weza kupata cheo kikubwa hata uwazi mkuu , lakini ameamuwa kuyaacha hayo yote kwa ajili ya kuwatetea wao lakini bado watu wanamuona si kitu.
 
Nukuu ya JK alisema 80% ya watanzania ni bendera fauata upepo, sasa hawa 80% lazima uende nao hivyo hivyo ipo siku wataelewa.
 
Hakuna anayejitolea tu "kuwapigania" watanzania ni vile huelewi tu hiyo biashara ya siasa ilivyo nchi hii.
 
Hakuna anayejitolea tu "kuwapigania" watanzania ni vile huelewi tu hiyo biashara ya siasa ilivyo nchi hii.
Basi tulieni serikali ifanye inacho taka na sio kushinda humu mnalalamika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom