Nawakumbusho: MAGUFULI DAY ni kesho

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,111
18,327
Kesho ni siku muhimu sana ya kukumbuka mtanzania aliyekuja kuleta mabadiriko ya fikra , alikuja ghafla na kuondoka ghafla.

Kuna mengi sana ya kujifunza toka kwake, na ameacha alama nyingi ambazo hazita futika katika taifa hili.


RIP Dr John Pombe Magufuli, Rais wa Tanzania Nov 5 2015- March 2021.

Kesho ni siku ya kutafakari fikra zake .

Je ni mafanikio yapi ameyaacha ambayo ni tofauti na Marais wengine?
Screenshot_20240316-185557_Google.jpg
View attachment 2936504View attachment 2936505
Screenshot_20240316-185704_Google.jpg
 
Kesho ni siku muhimu sana ya kukumbuka mtanzania aliyekuja kuleta mabadiriko ya fikra , alikuja ghafla na kuondoka ghafla.

Kuna mengi sana ya kujifunza toka kwake, na ameacha alama nyingi ambazo hazita futika katika taifa hili.


RIP Dr John Pombe Magufuli, Rais wa Tanzania Nov 5 2015- March 2021.

Kesho ni siku ya kutafakari fikra zake .

Je ni mafanikio yapi ameyaacha ambayo ni tofauti na Marais wengine?View attachment 2936503View attachment 2936504View attachment 2936505View attachment 2936506
Hakuna mtu mwenye akili timamu atamkumbuka huyu Bedui.
 
Kesho ni siku muhimu sana ya kukumbuka mtanzania aliyekuja kuleta mabadiriko ya fikra , alikuja ghafla na kuondoka ghafla.

Kuna mengi sana ya kujifunza toka kwake, na ameacha alama nyingi ambazo hazita futika katika taifa hili.


RIP Dr John Pombe Magufuli, Rais wa Tanzania Nov 5 2015- March 2021.

Kesho ni siku ya kutafakari fikra zake .

Je ni mafanikio yapi ameyaacha ambayo ni tofauti na Marais wengine?View attachment 2936503View attachment 2936504View attachment 2936505View attachment 2936506
Ungelianza na Mkapa tungeelewa.
Mbona hukuja hapa ya Mkapa?
Tuache kutafuta mboga ya kufuturu tukakae kuwaza yaliyoenda.
 
Back
Top Bottom