Nauza vifaa vya saloon vya kike,vimetumika kwa muda wa miezi 5,vipo katika hali nzuri,vyakuchukua nakuanza biashara,drayer 2 moja stimmer,rolaz,vitana,viti vitatu vyakisasa,tray kubwa la kuhifadhia rolaz,mafuta,dawa na vitana....bei milion 1.5,dhumuni la kuuza,sina mwangaliz wa kusimamia mana nasafiri...nicheki kwa namba 0716242588