Plot4Rent Nauza shamba maeneo ya Mkuranga

Dith

Member
Sep 30, 2020
57
15
  • Shamba hili lipo maeneo ya Mkuranga kikungo sehemu panaitwa Kibululu karibu na Kibululu Primary School (Kikungo ni kituo cha mbele baada ya kiparang'anda).
  • Lina heka 4 zinapelea kidogo.
  • Kuna miembe, michungwa, migomba midogo, miti ya nazi, korosho, limao, stafeli, mipapai midogo, n.k.
  • Shamba lina kisima ndani yake kisicho na tanki na mota, shamba safi halina vichaka.
  • Kilometer 3.5 kutoka barabara ya lami.
  • Kutoka mbagala mpaka kikungo ni shilingi 1400 kwa usafiri wa daladala, kutoka hapo kikungo stand mpaka shambani kwa bodaboda ni shilingi elfu moja, kwa miguu ni kama dakika 20 au nusu saa itategemea na mtembeaji.
  • Bei ni shilingi 15M fixed. Mawasiliano ni 0769917961 au 0712030252
  • Angalia picha za shamba hapa
  • IMG_20201002_130826_042.jpg
    IMG_20201002_130829_709.jpg
    IMG_20201002_130834_291.jpg
    IMG_20201002_130838_201.jpg
    IMG_20201002_130843_016.jpg
    IMG_20201002_130846_564.jpg
    IMG_20201002_130851_161.jpg
    IMG_20201002_130856_477.jpg
    IMG_20201002_130909_007.jpg
    IMG_20201002_131354_915.jpg
    IMG_20201002_131358_076.jpg
    IMG_20201002_131402_629.jpg
    IMG_20201002_131405_724.jpg
    IMG_20201002_131408_869.jpg
    IMG_20201002_144601_320.jpg
    IMG_20201002_144605_832.jpg
    IMG_20201002_144610_860.jpg
    IMG_20201002_144615_299.jpg
 
Mkuu sawa biashara tumeiyona lkn bei umeeenda mbali sana nina rafiki yangu anauza eka mbili kwa milioni mbili na ni hapo hapo mkuranga
 
Yan shamba heka 3 million 25 subiri yesu akirudi utauza.
Kwa mwenye nia ya dhati bei inaongeleka. Ni makubaliano tu. Na shamba pia lina mali. Ukisoma maelezo yangu utajua kwanini ni bei hiyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom