Duh Gear ndio nini Nisaidieni
Nauza Samsung galaxy S5 na gear 2. Zote ni original , zipo kwenye hali nzuri sana. Zimetumika kwa miezi 5 tu. Starting price kwa zote ni Tsh. 900,000/=.
au inakuaje? na mfano sim ukampa mkewe ukabaki na saa si ni easy way ya kumspy.....hahaaa just curiosity