PROSPER 05
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 226
- 217
Halo, Nauza Playstation 2 Zipo 4. ni ps 2 Phat zile nene ambazo ni ngumu na zinafaa kwa Biashara
Kila ps inakuja na waya zake.(kama unataka Games na Pad na Memory tutaongea)
Bei:
PS2 Moja Tsh 150,000 (utasave 50,000 Kawaida huuzwa tsh 200,000)
PS2 Mbili Ths 250,000 (utasave tsh 100,000)
PS2 Tatu Tsh 360,000 ( utasave tsh 240,000)
PS2 Nne Tsh 450,000 ( Utasave tsh 350,000)
Ps zote Zimechipiwa, maana yake hazihitaji CD Kucheza game. unaweza kucheza games zilizohifadhiwa katika Flash..
Nipo Morogoro. Serious Buyers Only nicheki WhatsApp: (0718-136067)
Kama una Swali comment hapo chini
Kila ps inakuja na waya zake.(kama unataka Games na Pad na Memory tutaongea)
Bei:
PS2 Moja Tsh 150,000 (utasave 50,000 Kawaida huuzwa tsh 200,000)
PS2 Mbili Ths 250,000 (utasave tsh 100,000)
PS2 Tatu Tsh 360,000 ( utasave tsh 240,000)
PS2 Nne Tsh 450,000 ( Utasave tsh 350,000)
Ps zote Zimechipiwa, maana yake hazihitaji CD Kucheza game. unaweza kucheza games zilizohifadhiwa katika Flash..
Nipo Morogoro. Serious Buyers Only nicheki WhatsApp: (0718-136067)
Kama una Swali comment hapo chini