Senior Boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 3,405
- 3,678
Hello JF,
Nina miti yangu ya mwarobaini. Nafkiria kuikata niiuze kwa kweli imekomaa sana na inaweza tumiwa kwa ajili ya mbao au mkaa. Nilikuwa naomba wadau mnisadie kukadaria thamani yake each in Tshs ili ni estimate faida/hasara zake. Kuhusu eneo husika ni private owned.
Shukrani.
Nina miti yangu ya mwarobaini. Nafkiria kuikata niiuze kwa kweli imekomaa sana na inaweza tumiwa kwa ajili ya mbao au mkaa. Nilikuwa naomba wadau mnisadie kukadaria thamani yake each in Tshs ili ni estimate faida/hasara zake. Kuhusu eneo husika ni private owned.
Shukrani.