Nauza mafuta ya alizeti bei nzuri sana

Mafuta yanapatikana kwenye ujazo wa ltr1, ltr3,ltr4 na lita 5.... Bei rafiki sana 0623140090 nitafute tufanye biashara yanapatikana kwa jumla na rejareja.. karibuni sana
Kuwa serious Rafiki,
Issue ya kutoa hela ya mtu mfukoni inataka u serious, Sema uko wapi? Bei Sh ngp kwa kila package yako ya Lt 1, 3, 4 na 5, Jumla bei ngapi na Rejareja bei ngapi kwa each package. Kwa kifupi jitahidi kupunguza maswali ambayo mteja anaweza kujiuliza + taarifa zingine zenye kumvutia mteja, including picha kwa package zako!

Ona Mfano;
 
Kuwa serious Rafiki,
Issue ya kutoa hela ya mtu mfukoni inataka u serious, Sema uko wapi? Bei Sh ngp kwa kila package yako ya Lt 1, 3, 4 na 5, Jumla bei ngapi na Rejareja bei ngapi kwa each package. Kwa kifupi jitahidi kupunguza maswali ambayo mteja anaweza kujiuliza + taarifa zingine zenye kumvutia mteja, including picha kwa package zako!

Ona Mfano;
Nimekuelewa kaka, nashukuru san
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom