Kuwa serious Rafiki,Mafuta yanapatikana kwenye ujazo wa ltr1, ltr3,ltr4 na lita 5.... Bei rafiki sana 0623140090 nitafute tufanye biashara yanapatikana kwa jumla na rejareja.. karibuni sana
Nimekuelewa kaka, nashukuru sanKuwa serious Rafiki,
Issue ya kutoa hela ya mtu mfukoni inataka u serious, Sema uko wapi? Bei Sh ngp kwa kila package yako ya Lt 1, 3, 4 na 5, Jumla bei ngapi na Rejareja bei ngapi kwa each package. Kwa kifupi jitahidi kupunguza maswali ambayo mteja anaweza kujiuliza + taarifa zingine zenye kumvutia mteja, including picha kwa package zako!
Ona Mfano;
Nauza Mafuta ya Alizeti mazuri sana
Nauza mafuta ya alizeti kwa jumla na rejareja. Dumu la 5ltrs kwa 25,000 tu na 20ltrs kwa 96,000 tu. Mzigo upo Sinza, Dar.www.jamiiforums.com
lita tano shilingi ngapi kwa bei ya jumla
Lita tano(22000) boss wanglita tano shilingi ngapi kwa bei ya jumla ?
Kama utachukua mengi tunaweza ongea biashara vizuri.. karibu sana 0623140090Lita tano(22000) boss wang
Napatikana Mabibo karibu na chuo cha NIT ..lita 1(6000) lita 3(14000) lita5(22000) karibu sanaunapatikana wapi,bei ziko vipi
Lita 5(22000)Kweli rahisi lita 5 kwa elfu 80.
Lita 5 (22000) tunaweza wasiliana tukaongea vizurilita tano shilingi ngapi kwa bei ya jumla ?
nitakuja pmLita 5 (22000) tunaweza wasiliana tukaongea vizuri
Karibu sananitakuja pm
Delivery ipo kwa posta huku?Lita 5 (22000) tunaweza wasiliana tukaongea vizuri
Ndio nakuletea boss wang... 0623140090 tuwasilianeDelivery ipo kwa posta huku?
Weka price list hapa ya kila ujazo ili tunapokujia huko inbox tujue tumefuata nini.
Lita 5(22000) lita 3(14000) na lita 1(6000)Weka price list hapa ya kila ujazo ili tunapokujia huko inbox tujue tumefuata nini.