Nauza kuku wa kienyeji-tabata kinyerezi.

DonM

Member
Jul 20, 2012
5
0
Ninauza kuku wa kienyeji wenye uzito kuanzia 1kg mpaka 1.5kg...Bei kwa kuku ni Tsh 14,000/=.Kuku wapo wengi...Kwa mawasiliano 0712-164153,0717-012395
 
Ninauza kuku wa kienyeji wenye uzito kuanzia 1kg mpaka 1.5kg...Bei kwa kuku ni Tsh 14,000/=.Kuku wapo wengi...Kwa mawasiliano 0712-164153,0717-012395

Nahtaj mayai ya bata ntapata
 
sasa huu ni ujinga mtadaije picha na mayai kwa ni wewe hujui kuku walivyo na mayai talivyo na ameshasema uzito wacheni mazoea ya picha picha tomaso wakubwa

aiss povu ulilonitolea hata sijui ulikuwa na hamu ya kulitoa,au hukujua wa kumtolea hilo povu!!!!umefuatilia vizuri michango iliyotolewa,au umeamua kutoa povu lako tu!!mimi nilikuwa namuuliza huyo aliyekuwa anataka picha lkn umenitolea povu hadi natamani nikutukane!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom