Asante kwa taarifa.mayai unayo?weka basi na picha
Ninauza kuku wa kienyeji wenye uzito kuanzia 1kg mpaka 1.5kg...Bei kwa kuku ni Tsh 14,000/=.Kuku wapo wengi...Kwa mawasiliano 0712-164153,0717-012395
Nahtaj mayai ya bata ntapata
sasa huu ni ujinga mtadaije picha na mayai kwa ni wewe hujui kuku walivyo na mayai talivyo na ameshasema uzito wacheni mazoea ya picha picha tomaso wakubwapicha ya mayai au kuku!
sasa huu ni ujinga mtadaije picha na mayai kwa ni wewe hujui kuku walivyo na mayai talivyo na ameshasema uzito wacheni mazoea ya picha picha tomaso wakubwa