hiyo bei mgosi, hata kama kiwanja kinaugomvi huwezi kuuza kwa bei hiyo.
naishi korogwe kwa hapa mjini hakuna kiwanja cha chini ya sh. 2m na kwa vile vinavyogawiwa na Halimashauri ya Mji kwa mara ya mwisho bei ya chini ilikuwa 1m navyo vipo nje ya mji kidogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.