We huoni👆😄Ameweka bei wapi mkuu?
We huoni👆😄Ameweka bei wapi mkuu?
Nauza kiwanja chenye ukubwa wa ekari 1 maeneo ya Fukayose.
Kama unahitaji ni PM
Okay sawa sawa. Maelekezo ya umbali toka Dar, miundombinu zaidi, nature ya ardhi. Naweza pata zaidi ya ukubwa huo?Bei ni mil 1.5 tu
Watu bwana, yaani hata picha hauna?Nauza kiwanja chenye ukubwa wa ekari 1 maeneo ya Fukayose.
Kama unahitaji ni PM
Hivi King Kong III si ni wewe ndiye tuliyekukimbizaga pale shambani mwaka 2015? Unakumbuka ulikua uchi wa nyama kabisa na umejipaka masizi ukijifanya nyani, unakumbuka?Aiseee umenikumbusha Fukayose unapita kile kidaraja cha bati Ruvu unaitafuta Kiwangwa kwenye mananasi kwenye Minara Minne kilimani.
Mkuu kwa 500k napata kiasi gani kama ukinimegea kipandeNauza kiwanja chenye ukubwa wa ekari 1 maeneo ya Fukayose.
Kama unahitaji ni PM
Utapata roboMkuu kwa 500k napata kiasi gani kama ukinimegea kipande
Hilo daraja ilikua njia ya zamani. Barabara mpya ya Msata imechepushwa na kuliacha hilo daraja kwa mbali.Kidomole, Makurunge na hata Fukayosi naona zinakua kwa kasi. Miaka michache iliopita eka moja hapo Fukayosi ilikua inauzwa laki 4 mpaka 5. Hivi sasa huwa naona matangazo eka moja ipo kwenye wastani wa milioni 1. Watu wengi (hasa jamii ya Wachaga) ninaowafahamu walinunua maeneo makubwa huko, eka 10, 20 hata 30. Wengine ndio hawa ambao naona sikuhizi.wanakata viwanja na kuuza. Sio vibaya ( kama hivi sasa pesa ya ziada ipo), unaweza kuwekeza kwenye ardhi maeneo hayo. Ardhi haijawahi kushuka thamani. Naamini, siku za mbeleni, bei za haya maeneo zitakuwa juu sana, pengine tunaweza kuja kujutia kupoteza fursa hizi.Aiseee umenikumbusha Fukayose unapita kile kidaraja cha bati Ruvu unaitafuta Kiwangwa kwenye mananasi kwenye Minara Minne kilimani.
Kilometer 25 nje ya Bagamoyo kuna migogoro ya ardhi kinoma.Ndiyo wapi huko Fukayose!