Nauza IPhone 8 {256 GB}.

Pure_sapiens

JF-Expert Member
Dec 25, 2016
2,197
2,025
Habari wadau.Nauza simu aina ya IPhone 8 with storage 256 GB.Tangu nimenunuwa haina hata mwezi.
Kama unaitaka njoo inbobo
 
Mkuu funguka unauza Tshs ngapi? Na kwanini unauza ina matatizo gani pia n a picha itapandeza
 
  • Thanks
Reactions: bbc
huko inbobo kuna nini haswa!!!!???

au mnanyonya watu damu??simu umeweka hapa wazi,picha na bei utafutwe!!!na wewe ndiye mwenye kutaka pesa.
 
  • Thanks
Reactions: bbc
Weka details zote za simu pamoja na bei na namna ya kuipata kama upo serious unauza hiyo simu ili kila mtu aweze kuona, inbobo kufanya nini? kuna nini unaficha kuhusu hiyo simu mkuu.
 
  • Thanks
Reactions: bbc
Ni muda wa mwezi tangu nimenunuwa simu haina tatizo lolote lile.Simu bado mbichi kabisa ila sababu ya matatizo niliyoyapa hivi karibuni nalazimika kuiuza hii iphone.Bei ni Tsh 1.8 mil
 
Ni muda wa mwezi tangu nimenunuwa simu haina tatizo lolote lile.Simu bado mbichi kabisa ila sababu ya matatizo niliyoyapa hivi karibuni nalazimika kuiuza hii iphone.Bei ni Tsh 1.8 mil
Kwahiyo hizi ndio picha ambazo wadau tunazisubiri?
 
Tukisema unavizia kumpiga mtu utalalama kua umevunjiwa heshima,unauza simu kwa 1.8M utadhani unauza karanga za 100 vile duh.
 
Am sorry kwa usumbufu ila picha naziweka sasa hivi.Kuhusu bei hii ndio bei yake lakini inapunguwa.Iphone8>256gb ni gharama kubwa sana sokoni yaani hapo nimepunguza sana
 
96674d13ec878afcc51d7bd748823c06.jpg
32eacaefb395a08b129aac3a39c8da08.jpg
b61fe3a01ae766560edcb1e46d3d3ff6.jpg
751c598dd59bc3105b9fb2e29a124290.jpg
9d4892f8d58a74337d8ecb25ec3baef3.jpg
811166b206b562cfe77e56470ecb24ce.jpg
3fb7892af07a6555f144cef1b8fabd79.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom