TIMING JF-Expert Member Apr 12, 2008 24,892 11,288 Jul 19, 2011 #2 upuuzi sasa huu, two threads on a freaky TV business mambaffffffffffff
M mzee wa njaa JF-Expert Member Jun 16, 2011 1,366 223 Jul 19, 2011 #3 Lipia Tangazo kwanza...Toa specifications ndio ueleweke ni PAL au NTFS?
Nduka JF-Expert Member Dec 3, 2008 8,552 2,360 Jul 20, 2011 #5 Mimi naomba uniuzie umeme kwanza, hawa Tanesco wasije kuniungizia HDTV kwa katakata.
M Mbwambo JF-Expert Member Nov 25, 2008 625 93 Jul 20, 2011 #6 yoyo said: Suggest the price Click to expand... Jamani wengine shule zimekwenda pembeni kabisa. je HDTV nini? Inafanya nini? Waosha vinywa kaeni kimya nataka majibu tu si dharau
yoyo said: Suggest the price Click to expand... Jamani wengine shule zimekwenda pembeni kabisa. je HDTV nini? Inafanya nini? Waosha vinywa kaeni kimya nataka majibu tu si dharau
Jaluo_Nyeupe JF-Expert Member Dec 21, 2010 2,697 1,962 Jul 20, 2011 #7 ahhh! Unaboa sasa. Yaani kuambiwa plasma imepitwa na wakati ikakubidi uanzishe thread nyingine ya HD?
ahhh! Unaboa sasa. Yaani kuambiwa plasma imepitwa na wakati ikakubidi uanzishe thread nyingine ya HD?