Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,726
- 24,935
Weka 5000 na 10000 hawa humu wanaela nawanapenda sana kujikwezaUnapata, 2000, 3000, 5000, 10000
Weka 5000 na 10000 hawa humu wanaela nawanapenda sana kujikwezaUnapata, 2000, 3000, 5000, 10000
ndiyo wanapataga fungiHaiwezi kuwa hivyo. Ni lazima wataharibika baada ya muda fulani.
Wenzako wanaongelea dagaa, wewe unaibua story za kutukanana.He🤣🤣🤣🤣🤣 uliwahi nitukana eti kisa nini?? Matusi kama nimekuchukulia mkeo nikampiga debe
Mwalo gani huo mkuu?!Hongera mkuu.
Naona kama bei ni kubwa sana wakati mwaloni Dagaa wabichi ndoo imejaa ni 9000/=-hadi 11000/.
Sijui kwanini biashara za mitandaoni bongo huwa ni kichaa namna hii.
78000/? Umemfikiria atakayelangua atauzaje?
Anawenge huwa anajiona malaika huyu jamaaWenzako wanaongelea dagaa, wewe unaibua story za kutukanana.
Msamehe yaishe, kisha agiza dagaa na wewe.
Bei za hao dagaa wabichi hutegemeana na mwezi,wakati wa kiza namvua ndio huwa wengi but ktk kipindi hicho bado ndoo inaweza kuwa kati ya 20K-30K.Wakati hamna mvua ndoo huenda mpaka 50K.Hongera mkuu.
Naona kama bei ni kubwa sana wakati mwaloni Dagaa wabichi ndoo imejaa ni 9000/=-hadi 11000/.
Sijui kwanini biashara za mitandaoni bongo huwa ni kichaa namna hii.
78000/? Umemfikiria atakayelangua atauzaje?
Wewe Binti tafuta mme uolewe uache gubu.He uliwahi nitukana eti kisa nini?? Matusi kama nimekuchukulia mkeo nikampiga debe
Apo umetisha natakaUnapata, 2000, 3000, 5000, 10000
Aseme nimemfanyaje??Wewe Binti tafuta mme uolewe uache gubu.
Kwahyo geto kwa jamaa kama kunafikika kiurahisi si unamfikishia mzigo au unasemaje dada mpambanaji😂😂Sio hivyo kakayangu, namaanisha sehem ambayo inafikika ki urahisi
Bei ya kilo ni bei gani?Unaanza na Sado kaka, karibu 0789222279
Apo umetishaa
KaribuKRib
Hatupimi kwa kilo kaka, lakini Kuna 2000, 3000, 5000 na 10000Bei ya kilo ni bei gani?
Karibu 0789222279Apo umetisha nataka
Asante mkuu. Pambana hapo kwenye mafuta nimekuelewa sana.Kaka, bei uloitaja sio yenyewe kabisa, halafu Hawa dagaa wanatumia mafuta mengi Sana, bado kuni, viungo, waoshaji, wachambuaji, anauekaanga, kubeba mzigo mpaka stand na kusafirisha! Faida hapo sio kubwa Kama unavofikiri, Ni vile dadayako nmeamua nijiajiri baada ya kukosa ajira. Karibu sana