Natamani kuwa Mkenya

Tatizo la bongo kuna siasa maneno mengi bila vitendo


hapo ndo panapokera maneno meengi mara maisha bora kwa kila mtanzania huku hata maji safi ni tatizo sasa ni safari ya matumaini utafikiri nchi ina ngoma hadi inakera! mafisadi wameshika hatamu kila leo wanasafiri nje wanaona maendeleo ya wenzao ila wakirudi bongo hata hawajifunzi wao wanawaza kuiba tuuu!!!! hata mimi ningekuwa bongo nadhani ningehamia kenya kabisa napapenda nairobi sema sasa hao alshabab hapo ndo tatizo.
 
kenya watu wanajitambua aisee sio kama tanzania hata ukiangalia siasa ya kenya ni tofauti kabsa na bongo. Huku lowasa anajulikana ni mwizi na hawezi kuongea lakini coz anatumia hela basi watu wanataka achukue nchi ili wanufaike baadae that shame

unaizijua siasa za kenya vizuri au unaropoka tu?
 
Kamwe usikane kwenu.
Hao .... unaowatamani wana shida nyingi sana. Bora hapa maghorofa ya mjini yanajengwa na kina LAPF, GEPF, NSSF, NHC.
Hao ..... kila jengo la mzungu
Tanzania ni nchi nzuri sana.
Muombe Mungu akusamehe.
Afu waonekana huna kazi we ......
Maana ungekuwa na kazi hakika unhefanya juhudi ili unapoishi pawe kama utakavyo....
Wewe.... sana
 
Kamwe usikane kwenu.
Hao .... unaowatamani wana shida nyingi sana. Bora hapa maghorofa ya mjini yanajengwa na kina LAPF, GEPF, NSSF, NHC.
Hao ..... kila jengo la mzungu
Tanzania ni nchi nzuri sana.
Muombe Mungu akusamehe.
Afu waonekana huna kazi we ......
Maana ungekuwa na kazi hakika unhefanya juhudi ili unapoishi pawe kama utakavyo....
Wewe.... sana

hahaha ati kila jengo la mzungu SMH
 
Ni week ya pili toka nitoke Kenya, vitu nilivyoviona huko sitamani hata kuwa mtanzania. Watu wako serious bwana, kuna barabara za juu kila kona pia wanajenga railway ya kisasa kutoka Mombasa hadi Nairobi.

Sisi watanzania sijui tumelaaniwa nini jamani.

tena fanya fasta upeleke makalio huko,mijitu kama nyie ndio mizigo nchini,hata aibu hauna unabwabwaja upuuzi,uliyelaaniwa wewe na wenzio wenye akili kama zako,kweli ushamba mzigo,sasa ukienda kwa mzungu si ndio utataka ugawe nanii ili wakukubali huko?fanya kazi jitume acha kutamani vya wenzio,ukiona vyaelea ujue vimeundwa ohoo...
yani we ngaba kweli wewe,nyie ndio mliokimbia sitimbi kwa stori ya maghorofa ya mzizima,badilika...
 
Ni week ya pili toka nitoke Kenya, vitu nilivyoviona huko sitamani hata kuwa mtanzania. Watu wako serious bwana, kuna barabara za juu kila kona pia wanajenga railway ya kisasa kutoka Mombasa hadi Nairobi.

Sisi watanzania sijui tumelaaniwa nini jamani.

Kenya wako mbele yetu 10 yrs plus ni ukweli mchungu
 
Ni week ya pili toka nitoke Kenya, vitu nilivyoviona huko sitamani hata kuwa mtanzania. Watu wako serious bwana, kuna barabara za juu kila kona pia wanajenga railway ya kisasa kutoka Mombasa hadi Nairobi.

Sisi watanzania sijui tumelaaniwa nini jamani.

Hapo umeenda Kenya tu,Je ukienda uingereza utataka kuwa bwabwa?
 
Ni week ya pili toka nitoke Kenya, vitu nilivyoviona huko sitamani hata kuwa mtanzania. Watu wako serious bwana, kuna barabara za juu kila kona pia wanajenga railway ya kisasa kutoka Mombasa hadi Nairobi.

Sisi watanzania sijui tumelaaniwa nini jamani.

Ukipata uraia wa Kenya usisahau Garrisa kuna nyumba nzuri za bei nafuu
 
Mkuu upo sahihi, watanzania tuko nyuma sana, lakini tunapenda kupiga porojo kuwa tuko fit kila idara, lakini ukiangalia vya kushindanishwa kuanzia soka, michezo yote ya Olympic, uchumi nk tuko hoi! Mi mwenyewe nimetoka huko juzi, nawaambia wale ambao bado hawajafika, kenya wakisimama leo wasifanye chochote miaka 10,bado hatutowafikia chochote. Mi nashangaa watu wanao endelea kuwakumbatia ccm chama kilichoshindwa miaka 50 kuleta maendeleo, wakati wakenya waliachana na kanu zamaniii!!

Well said
 
hauna tofauti na mwanamke anayetamani kuwa mwanaume au mwanaume anayetamani kuwa mwanamke. Ni ujinga tu!
 
Usiiikatie tamaa nchi yako,hapa ndo nyumbani ni zambi kuikatia tamaa nchi yako..we ipende na pambana kama watu wengine lakini usiikatae hata kwa dawa wala kutamani ungezaliwa kwingine hapa ndo nyumbani bro
 
Ni week ya pili toka nitoke Kenya, vitu nilivyoviona huko sitamani hata kuwa mtanzania. Watu wako serious bwana, kuna barabara za juu kila kona pia wanajenga railway ya kisasa kutoka Mombasa hadi Nairobi.

Sisi watanzania sijui tumelaaniwa nini jamani.

We ni mtumwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom