kanisa nililotembelea wameniambia nisikanyage bar milele'sasa nikiwaza kuhusu maisha yangu hakuna siku ambayo sijatembelea bar wala hakuna siku nimelala bila kunywa pombe,haya masharti ni magumu kuliko nilivyofikiri
kila nikifikiria kuacha pombe nahisi kama ni ndoto'ila ikitokea nikaacha pombe nitaamini kuna mungu
Mimi pombe sinyi ila zoezi la kuokoka ni gumu sana kwangu maana pombe siyo zambi pekee kuna vitu vingi sana unatakiwa kujikana navyo kama vile kuacha totoz kitu ambacho kwangu sikiwezi. Ingekuwa kuokoka ni kuacha pombe basi mimi ningekuwa mlokole
Kama ni hivyo basi unatudanganya, wala hujatamani kuokokakila nikifikiria kuacha pombe nahisi kama ni ndoto'ila ikitokea nikaacha pombe nitaamini kuna mungu
kanisa nililotembelea wameniambia nisikanyage bar milele'sasa nikiwaza kuhusu maisha yangu hakuna siku ambayo sijatembelea bar wala hakuna siku nimelala bila kunywa pombe,haya masharti ni magumu kuliko nilivyofikiri
Mimi pombe sinyi ila zoezi la kuokoka ni gumu sana kwangu maana pombe siyo zambi pekee kuna vitu vingi sana unatakiwa kujikana navyo kama vile kuacha totoz kitu ambacho kwangu sikiwezi. Ingekuwa kuokoka ni kuacha pombe basi mimi ningekuwa mlokole
...Basi usiukoke kwa sasa subiri mpaka pale utakapokuwa tayari kuyatimiza masharti uliyopewa. Inaweza kuwa mwezi toka sasa, miezi sita toka sasa, mwaka au hata zaidi ya mwaka. Kila la heri.