- Thread starter
- #61
Shukrani 🙏Iwe mvua, iwe jua wewe endelea kukaza.
Shukrani 🙏Iwe mvua, iwe jua wewe endelea kukaza.
siku za mwanzo baada ya kuachana hakukuwa akiku-cheki kupitia simu? SassoNmemkazia mpaka leo (mwaka wa 3). Na mtoto ambaye alikua anamtumia kama fimbo nimemwachia.
Acha nizisake zaidi😂Kama wewe ni mwanaume basi achana nae endelea kutafuta hela atakuja mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Approach ya kiume, kama kosa ni pa kwako mtafute mkae chini myajenge. Masuala ya kuviziana ni utoto sanaYapata wiki sasa tangu tupishane kiswahili na mwandani wangu
Kuna muda wazo la kumcheki linanijia lakini najikaza kisabuni kwa kuogopa ataniona niko so weak kwake.
Ooh my God why this happen to me. Lord give me strength to overcome this
Kilichobaki akili na moyo vinapingana, moyo unanishawishi nimcheki hata kwa kumtext lakini akili inakataa kabisa na kunambia uthithubutu.
Sasa wote tukiendekeza ego nani ataanza kumcheki mwenzake?
Daah nipo dilemma mwenzenu
Mapenzi mapenzi mapenzi
Ni maumivu tu badala ya furaha
Nakufa kijerumani na tai shingoni
Anyway kumpenda nampenda nikizidiwa nitamcheki
😅😅😅👍Kadri unavyokaa kimya ndo jinsi unavyomfanya azoee kuishi bila wewe na mwisho wa siku ka pumbavu ka moja kanavyozidi kuiteka akiri yake kwa vitu vidogo vidogo tu kama kumshauli, kumpa vocha au bando na sms za hap na pale.
Hivyo wewe jivike mabomu mtumie sms tu , mwambie nimekumic chizi wangu .
Daah we acha tuFurahia wakati usijitese mkuu
Maisha ni magumu kwanini unaongeza ugumu?
Shukrani 🙏Linda brand yako mkuu
NakubaliKama utaendekeza hisia, tegemea kuwa mtumwa wa mapenzi, kama angelikua anakuona wew ni wa thaman kwake angelishakutafta. Anakuona wa kazi gan ndo maana na yeye kabunda huko
🤣🤣🤣🤣 Acha kuongea ukweli basiUsimtafute hivyo hivyo mkuu. Hizi ndio chance watu huzitumia kupata wenzi wao.
Ukimya wako, ni sherehe kwa jamaa mwingine.
😂😂Acha nizisake zaidi😂