a4afrika
JF-Expert Member
- Apr 13, 2012
- 1,389
- 1,331
Tukishampa nchi 2015 (japo tunaweza hata kesho), atawafanyaje watu hawa!
Wenye majumba ya thamani hali jirani zao wanalala nje!
Wenye kumiliki magari makali hali jirani zao hawana uwezo wa kununua hata ndala!
Wenye kulimbikiza fedha benki hali jirani alala njaa?
Wenye kuishi Masaki na Osterbay hali kuna wa Tandale na Manzese!
Wenye kuona ni haki kuzunguka misuru ya magari hali hospitali zetu hazina gari za wagonjwa, na shule na walimu wake hoi kwa mazingira yaliyokosa vitendea kazi.
Wenye kuhodhi aridhi kubwa kwa manufaa ya watoto wao!
Wageni wanaochota rasilimali zetu hali twabaki kapuku!
Wenye kula na kusaza hali jirani na watoto wake wanashindia uji!
Uwepo wa high class mahosptalini na kule kwetu sie.
Uwepo wa special schools hali na St. Kayumba zetu.
Hata uwepo wa Dar na Mwanza hali kuna Lindi na Singida.
Na mengine kama hayo yaashiriayo UBINAFSI.
Mungu wetu anaita!
Wenye majumba ya thamani hali jirani zao wanalala nje!
Wenye kumiliki magari makali hali jirani zao hawana uwezo wa kununua hata ndala!
Wenye kulimbikiza fedha benki hali jirani alala njaa?
Wenye kuishi Masaki na Osterbay hali kuna wa Tandale na Manzese!
Wenye kuona ni haki kuzunguka misuru ya magari hali hospitali zetu hazina gari za wagonjwa, na shule na walimu wake hoi kwa mazingira yaliyokosa vitendea kazi.
Wenye kuhodhi aridhi kubwa kwa manufaa ya watoto wao!
Wageni wanaochota rasilimali zetu hali twabaki kapuku!
Wenye kula na kusaza hali jirani na watoto wake wanashindia uji!
Uwepo wa high class mahosptalini na kule kwetu sie.
Uwepo wa special schools hali na St. Kayumba zetu.
Hata uwepo wa Dar na Mwanza hali kuna Lindi na Singida.
Na mengine kama hayo yaashiriayo UBINAFSI.
Mungu wetu anaita!