SOKON 1
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,134
- 331
Fedha ndiyo kigezo kikuu ktk uongozi kauli hii alitamka Wasira ndio maana ni vigumu kuwajali wanyonge.
Pindi nisikiapo ccm natamani ningekuwa kiziwi ama kipofu ili nisikutane na hili neno CCM kwani wapo tayari kuhujumu uchumi kwa hela za wanyonge wanaokusanya kodi zao kwa maslai yao.
Kitu kilichonifanya hadi niandike hii thread ni pindi nilipokuwa naona PT ZA POLISI zikija Udom na kuwachukua wanafunzi na kuwafukuzisha chuo kwa amri ya JK na kila mda wa usiku unapofika wanaUDOM macho wazi kama bundi wakisikilizia ni yupi anayefuata kipindi wakidai haki yao fedha kutoka bodi ya mikopo ila shukrani kwa Tundu Lisu kwa kusimamia kesi yao mahakamani kuwatetea na kuwarudisha chuo baada ya miaka miwili tangu wafukuzwe.
Mda huu wanaUDOM wanajiandaa na uchaguzi wa chuo ila ccm kwa kuona Udom sio tegemeo lao tena wameamua kuwekeza fedha nyingi ili zile nafasi muhimu za chuo za uongozi waweze kuzichukua ili kuzuia harakati zozote zitakazo tokea chuo kwani mda huu wanapata wakati mgumu pindi wasimamapo na kujulikana ni wana ccm.
My take:
Fedha sio kila kitu kwani kuna mda utafika watu watasimamia haki kwani ni vigumu kuwapa wote fedha ili wakufuate ndicho kilichopo Udom kwani wapenda haki wamejitolea kupambana na magamba kwa nguvu yoyote kwa kuhakikisha wanaelimisha na kusimamia haki bila kuangalia cash zao. Kwani hali ni tete kila upande unajaribu kutumia nguvu yoyote ili iweze kushinda kati ya ccm na cdm ila hawa chama cha magamba sumu ni ile ile.
Wao wanapesa sisi tuna Mungu
Nawasilisha
Pindi nisikiapo ccm natamani ningekuwa kiziwi ama kipofu ili nisikutane na hili neno CCM kwani wapo tayari kuhujumu uchumi kwa hela za wanyonge wanaokusanya kodi zao kwa maslai yao.
Kitu kilichonifanya hadi niandike hii thread ni pindi nilipokuwa naona PT ZA POLISI zikija Udom na kuwachukua wanafunzi na kuwafukuzisha chuo kwa amri ya JK na kila mda wa usiku unapofika wanaUDOM macho wazi kama bundi wakisikilizia ni yupi anayefuata kipindi wakidai haki yao fedha kutoka bodi ya mikopo ila shukrani kwa Tundu Lisu kwa kusimamia kesi yao mahakamani kuwatetea na kuwarudisha chuo baada ya miaka miwili tangu wafukuzwe.
Mda huu wanaUDOM wanajiandaa na uchaguzi wa chuo ila ccm kwa kuona Udom sio tegemeo lao tena wameamua kuwekeza fedha nyingi ili zile nafasi muhimu za chuo za uongozi waweze kuzichukua ili kuzuia harakati zozote zitakazo tokea chuo kwani mda huu wanapata wakati mgumu pindi wasimamapo na kujulikana ni wana ccm.
My take:
Fedha sio kila kitu kwani kuna mda utafika watu watasimamia haki kwani ni vigumu kuwapa wote fedha ili wakufuate ndicho kilichopo Udom kwani wapenda haki wamejitolea kupambana na magamba kwa nguvu yoyote kwa kuhakikisha wanaelimisha na kusimamia haki bila kuangalia cash zao. Kwani hali ni tete kila upande unajaribu kutumia nguvu yoyote ili iweze kushinda kati ya ccm na cdm ila hawa chama cha magamba sumu ni ile ile.
Wao wanapesa sisi tuna Mungu
Nawasilisha