Kinumbo
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 2,750
- 4,940
Moja kwa moja kwenye dhumuni la uzi wangu, wakuu nauliza kuhusu utaratibu wa kusafiri kwa usafiri wa ndege kwa safari za ndani ya Tanzania sio kutoka nje ya nchi.
Mimi binafsi sijawahi kutumia usafiri huo sasa niliona mwishoni mwa mwezi huu niende mapumziko huko kijijini kwetu nikaenjoy na kina bibi na babu. Na nikaona kwa awamu hii nitumie usafiri wa ndege.
Naomba mnipe muongozo napaswa kuwa na nini hasa, au ni kama usafiri wa basi tu? Yaani naenda kwa wakala nakata tiketi kisha nasubiri siku ya safari naenda kupanda ndege kisha tunaondoka, sijui chochote wakuu naomba mnieleweshe.
Labda kuna documents unapaswa kuwa nazo, maana kwa safari za nje nasikia uwe na pasipoti sijui visa sasa kwa safari za humu humu Tanzania utaratibu ukoje? Yaani kutoka mkoa fulani kwenda mkoa fulani utaratibu ni upi tafadhali.
Niko hapa nasubiri muongozo, asanteni.
===
Vitu vya kuzingatia wakati wa safari za ndani za ndege soma Natakiwa kuwa na nini endapo nahitaji kusafiri kwa ndege kwa safari za ndani ya Tanzania?
Mimi binafsi sijawahi kutumia usafiri huo sasa niliona mwishoni mwa mwezi huu niende mapumziko huko kijijini kwetu nikaenjoy na kina bibi na babu. Na nikaona kwa awamu hii nitumie usafiri wa ndege.
Naomba mnipe muongozo napaswa kuwa na nini hasa, au ni kama usafiri wa basi tu? Yaani naenda kwa wakala nakata tiketi kisha nasubiri siku ya safari naenda kupanda ndege kisha tunaondoka, sijui chochote wakuu naomba mnieleweshe.
Labda kuna documents unapaswa kuwa nazo, maana kwa safari za nje nasikia uwe na pasipoti sijui visa sasa kwa safari za humu humu Tanzania utaratibu ukoje? Yaani kutoka mkoa fulani kwenda mkoa fulani utaratibu ni upi tafadhali.
Niko hapa nasubiri muongozo, asanteni.
===
Vitu vya kuzingatia wakati wa safari za ndani za ndege soma Natakiwa kuwa na nini endapo nahitaji kusafiri kwa ndege kwa safari za ndani ya Tanzania?