walinunua kwa LPO au ilkuwa ni tender?
Sio tender na hakukuwa na lpo ila tuliwauzia waka-sign delivery
haya tena
mliwauziaje, cash au credit ? ina maana unakwenda kudai kwa kutumia delivery note, kama huna doc nyingine inayoonyesha njia ya mauzo/manunuzi ilivyofanyika wala usipoteze muda wa kuwashitaki
Ok kuna invoice na delivery ,walikopa on the condition dat payment will be made after issuing invoice
kama walikopa je una credit note ya aina yeyote, anyways huyo aliyekopa sijui kama alifuata utaratibu lakini inaonyesha mlikua mnafanya hivyo siku za nyuma
nahisi utalipwa kwa ucheweleshwaji, kwa nini usivumilie tuu kwani mashitaka utakayofungua itakuwa ni kesi ya madai
wako biz wanakusanya fedha za kuilipa dowans,na inawezekana wanachukulia kama ni sehemu ya mchango wako.Nimevumilia na huu ni kama mwaka wa 3 na inaelekea kama hawataki kulipa ,