BARA BARA YA 5
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 1,127
- 734
Wadau nafikiria nikope trekta la HP 35 ambalo talitumia kulima ekari zangu 50 na chache za majirani.Baada ya hapo nitakutumia kubebea mazao na vifaa vya ujenzi kwa maana ya kulikodisha.
Nitalifunga GPS maana nitakuwa nalo mbali.
Trekta na tela lake ni TZS 33m ambapo nitalipa kama 13m za kuanzia na zilizobakia nitarejesha kwa miezi 18.
Nataraji nikiuza mazao nitakayolima na makusanyo nimalize deni. Kadi watabaki nayo benki na nitakata bima kubwa.
Nitalifunga GPS maana nitakuwa nalo mbali.
Trekta na tela lake ni TZS 33m ambapo nitalipa kama 13m za kuanzia na zilizobakia nitarejesha kwa miezi 18.
Nataraji nikiuza mazao nitakayolima na makusanyo nimalize deni. Kadi watabaki nayo benki na nitakata bima kubwa.