Hmaster
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 346
- 86
Sera chache za chama hiki nimeziorodhesha hapa chini:
1. Kupigania kuundwa kwa taifa moja lenye serikali moja tu.
2. Kurekebisha mitaala ya elimu ili itolewe kwa lugha ya kiingerza kwa viwango vyote.
3. Kurudisha elimu ya watu wazima ili wajifunze elimu ya uraia.
Hizo ni chache mno kwa hiyo kama unaniunga mkono na upo humu, nipe sera zaidi ili nianze mikakati ya kutafuta wanachama na kukisajiri.
1. Kupigania kuundwa kwa taifa moja lenye serikali moja tu.
2. Kurekebisha mitaala ya elimu ili itolewe kwa lugha ya kiingerza kwa viwango vyote.
3. Kurudisha elimu ya watu wazima ili wajifunze elimu ya uraia.
Hizo ni chache mno kwa hiyo kama unaniunga mkono na upo humu, nipe sera zaidi ili nianze mikakati ya kutafuta wanachama na kukisajiri.