Nataka kuanzisha chama cha united liberal movement (urimo)

Hmaster

JF-Expert Member
Dec 27, 2010
346
86
Sera chache za chama hiki nimeziorodhesha hapa chini:
1. Kupigania kuundwa kwa taifa moja lenye serikali moja tu.
2. Kurekebisha mitaala ya elimu ili itolewe kwa lugha ya kiingerza kwa viwango vyote.
3. Kurudisha elimu ya watu wazima ili wajifunze elimu ya uraia.
Hizo ni chache mno kwa hiyo kama unaniunga mkono na upo humu, nipe sera zaidi ili nianze mikakati ya kutafuta wanachama na kukisajiri.
 
Sera chache za chama hiki nimeziorodhesha hapa chini:
1. Kupigania kuundwa kwa taifa moja lenye serikali moja tu.
2. Kurekebisha mitaala ya elimu ili itolewe kwa lugha ya kiingerza kwa viwango vyote.
3. Kurudisha elimu ya watu wazima ili wajifunze elimu ya uraia.
Hizo ni chache mno kwa hiyo kama unaniunga mkono na upo humu, nipe sera zaidi ili nianze mikakati ya kutafuta wanachama na kukisajiri.

Sasa hata sera za hicho chama huna, halafu unataka kuanzisha chama! Anzisha tu, wanachama mtakuwa wewe na mkeo halikadhalika wagombea mtakuwa wewe urais na mkeo umakamu.
 
Sera chache za chama hiki nimeziorodhesha hapa chini:
1. Kupigania kuundwa kwa taifa moja lenye serikali moja tu.
2. Kurekebisha mitaala ya elimu ili itolewe kwa lugha ya kiingerza kwa viwango vyote.
3. Kurudisha elimu ya watu wazima ili wajifunze elimu ya uraia.
Hizo ni chache mno kwa hiyo kama unaniunga mkono na upo humu, nipe sera zaidi ili nianze mikakati ya kutafuta wanachama na kukisajiri.


Watu wengine bwana, kwahiyo hayo ndio unaona mambo ya msingi sana kwenye sera zako? Halafu lengo la hicho chama ni kumkomboa mtanzania au kushibisha matumbo ya familia yako?
 
Sera chache za chama hiki nimeziorodhesha hapa chini:
1. Kupigania kuundwa kwa taifa moja lenye serikali moja tu.
2. Kurekebisha mitaala ya elimu ili itolewe kwa lugha ya kiingerza kwa viwango vyote.
3. Kurudisha elimu ya watu wazima ili wajifunze elimu ya uraia.
Hizo ni chache mno kwa hiyo kama unaniunga mkono na upo humu, nipe sera zaidi ili nianze mikakati ya kutafuta wanachama na kukisajiri.


wahi...nunua mchele kiroba kimoja....pika pilau halafu waalike Tambwe Hiza na Makamba ..... kesho yake chama kitasajiliwa
 
Hatudanganyiki ng'oooo!!!!!!!!!!!!!!!.Watu nchi hii wanataka chama kimoja tu chenye nguvu na kimeshapatikana.Ya nini kuhangaika?? Kila kona ya nchi hii sasa hivi ni Peoples Power!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.Watakuja na kila hadaa mara ni chama chenye udini mara kina ukabila lakini wananchi wameshafanya maamuzi ya chama kipi ni mkombozi wao'.....Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeees!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
cha nini kwani CCM imeshindwa kuongoza? hatutaki fujo za CDM nyingine watu tupo kazini kuiendeleza nchi
 
Huna jipya. Hufai kwenda chadema. Baki ccm na mawazo yako mgando. Kama una mawazo yasiyoelekezi utawezaje kutoa hoja zenyekuleta mabadiliko ya kweli. Chadema ipo kuwakomboa watz kutoka kwenye udhalimu wa ccm na mafisadi papa.chadema hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!.
 
siasa ni jambo la kifamilia, anza na waif na watoto, sisi wengine tutakuunga mkono badae....kumbuka wakati wa uchaguzi, ni kijana wako ndio atakuwa anakupigia kampeni, na waif pia.
 
cha nini kwani CCM imeshindwa kuongoza? hatutaki fujo za CDM nyingine watu tupo kazini kuiendeleza nchi

Nacho no chama cha kutangaza hata kwa watu hicho? Huna aibu au na wewe ni wale wale. CCM ilishapoteza dira sasa hivi ni chama ambacho kinasubiri mazishi tu! Huoni mambo yanvyoenda hobela hobela kama nchi haina mwenyewe? Wewe unaona nchi hii inaenda mbele sasa hivi? Hapa tumekwama na yote haya ni shauri ya sera mbofu mbofu za CCM. Eti mko kazini labda kazini kwenye mambo ya ufisadi wenu!!
 
Sera chache za chama hiki nimeziorodhesha hapa chini:
1. Kupigania kuundwa kwa taifa moja lenye serikali moja tu.
2. Kurekebisha mitaala ya elimu ili itolewe kwa lugha ya kiingerza kwa viwango vyote.
3. Kurudisha elimu ya watu wazima ili wajifunze elimu ya uraia.
Hizo ni chache mno kwa hiyo kama unaniunga mkono na upo humu, nipe sera zaidi ili nianze mikakati ya kutafuta wanachama na kukisajiri.

Hivi mkuu umeshakunya vipimo vingapi vya Mbege?

Ebu tueleze hiyo R umeitoa wapi kwenye initials za chama chako? rekebisha kwanza ndio tuongee..

United Liberal Movement (ULIMO) na sio URIMO....
 
Nacho no chama cha kutangaza hata kwa watu hicho? Huna aibu au na wewe ni wale wale. CCM ilishapoteza dira sasa hivi ni chama ambacho kinasubiri mazishi tu! Huoni mambo yanvyoenda hobela hobela kama nchi haina mwenyewe? Wewe unaona nchi hii inaenda mbele sasa hivi? Hapa tumekwama na yote haya ni shauri ya sera mbofu mbofu za CCM. Eti mko kazini labda kazini kwenye mambo ya ufisadi wenu!!
Hi nchi haina matatizo ya ajabu bali nyie Urimo (Ulimo) na CDM ndio mnaofanya nchii ionekane kama ni jehanamu flan, nashukuru SLAA ni mzee ataondoka karibuni angekuwa kijan angejaichoma moto nchi
 
Sera chache za chama hiki nimeziorodhesha hapa chini:
1. Kupigania kuundwa kwa taifa moja lenye serikali moja tu.
2. Kurekebisha mitaala ya elimu ili itolewe kwa lugha ya kiingerza kwa viwango vyote.
3. Kurudisha elimu ya watu wazima ili wajifunze elimu ya uraia.
Hizo ni chache mno kwa hiyo kama unaniunga mkono na upo humu, nipe sera zaidi ili nianze mikakati ya kutafuta wanachama na kukisajiri.


Kwa hiyo hizi ndo sera....hahahahahah.. Hongera u need to think again what do u want
 
Re: Nataka kuanzisha chama cha united liberal movement (urimo)

Mwenyewe hujui hata kuandika kifupi cha chama chako urimo/ulimo utakuwaje makini kwenye masuala muhimu ya kitaifa.
 
Hivi mkuu umeshakunya vipimo vingapi vya Mbege?

Ebu tueleze hiyo R umeitoa wapi kwenye initials za chama chako? rekebisha kwanza ndio tuongee..

United Liberal Movement (ULIMO) na sio URIMO....
Asante bwana mdogo kwa malekebisho haya maana hata mwenyewe baadaye nililiona hilo kosa ila mbege sijanya. Naelekea kwenye kikao na baadhi ya wanachama wa ULIMO na wewe baadaye uje. Ni chama matata balaa!

 
Asante bwana mdogo kwa malekebisho haya maana hata mwenyewe baadaye nililiona hilo kosa ila mbege sijanya. Naelekea kwenye kikao na baadhi ya wanachama wa ULIMO na wewe baadaye uje. Ni chama matata balaa!

Vipi nikuazime katibu mkuu wangu wa hapa Lumumba?
(sifai ccm sifai CDM ntakuwa memba wa UL(r)IMO
 
Anzisha ndugu, we will support you!! una mpango wa kuanisha lini? halafu sera zako zimelenga kwenye elimu sana, is ok, ila kimekaa ki-NGO zaidi, you have to amend many issues
 
Hatudanganyiki ng'oooo!!!!!!!!!!!!!!!.Watu nchi hii wanataka chama kimoja tu chenye nguvu na kimeshapatikana.Ya nini kuhangaika?? Kila kona ya nchi hii sasa hivi ni Peoples Power!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.Watakuja na kila hadaa mara ni chama chenye udini mara kina ukabila lakini wananchi wameshafanya maamuzi ya chama kipi ni mkombozi wao'.....Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeees!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
hatuhitaji movement nyingine, Christian Democratic Movement (CDM) inatutosha!
 
Sera chache za chama hiki nimeziorodhesha hapa chini:
1. Kupigania kuundwa kwa taifa moja lenye serikali moja tu.
2. Kurekebisha mitaala ya elimu ili itolewe kwa lugha ya kiingerza kwa viwango vyote.
3. Kurudisha elimu ya watu wazima ili wajifunze elimu ya uraia.
Hizo ni chache mno kwa hiyo kama unaniunga mkono na upo humu, nipe sera zaidi ili nianze mikakati ya kutafuta wanachama na kukisajiri.

Hadi hapo kitapoanza kuoperate ndo tutasema. Though chama makini kinahitajika sana kwa sasa ili kuchukua nchi na kuleta mageuzi ya kweli baada ya vyama vilivyopo kuleta longolongo, bado hatujasahau CCJ.
 
Sera chache za chama hiki nimeziorodhesha hapa chini:
1. Kupigania kuundwa kwa taifa moja lenye serikali moja tu.
2. Kurekebisha mitaala ya elimu ili itolewe kwa lugha ya kiingerza kwa viwango vyote.
3. Kurudisha elimu ya watu wazima ili wajifunze elimu ya uraia.
Hizo ni chache mno kwa hiyo kama unaniunga mkono na upo humu, nipe sera zaidi ili nianze mikakati ya kutafuta wanachama na kukisajiri.

R inasimamie nini kwenye hichi kifupi?(URIMO)
 
Back
Top Bottom