kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,628
- 1,786
Of course sio biashara kubwa kiasi kiviile hapana, ni biashara ya kawaida tu. Vipi TRA watanisumbua? Au kukata leseni hadi biashara iwe kubwa kiasi gani?
Kama Sijakuelewa hivi mkuuAnzisha mapema! hiyo itajulikana mbele kwa mbele.. Malengo ya mwaka mpya Huwa yanaishia Februari.. Ukijifikirisha tu Aprili hii hapa
Anzisha tu ya TRA utajua ukishaanza biasharaKama Sijakuelewa hivi mkuu
Sio kosa jinai?Anzisha tu ya TRA utajua ukishaanza biashara
Asante mkuu kwa ufafanuziLeseni na TIN muhimu mkuu....
Leseni utailipia kila mwaka,utapewa mpya....ni vzuri leseni ukatafuta kabla hujaanza biashara,makadiri yatakua madogo kuliko uanze afu wajuba wapite wakute duka limenona afu huna leseni...
Pia kuna kitu kinaitwa service levy,utahitajika kulipia kila mwaka...apo inategemea na mauzo yako.
Kodi za TRA inategemea sasa na ukubwa wa biashara yako....