Chereko Chereko
Member
- Dec 4, 2011
- 54
- 6
Habari ndio hiyo! Kama unakwalify niPM plz!
Na wewe bikra?
Wacha wee hivi ni kweli mbona wahuni ndo wanao pata ma bikra siku zote.uliowatoa bikira unataka nani awaoe?Mungu atakupa wa kufanana na wewe.....kama wewe bikra utapata bikra ila kama wewe ni chovya chovya utapata chovya chovya mwenzako...
uliowatoa bikira unataka nani awaoe?Mungu atakupa wa kufanana na wewe.....kama wewe bikra utapata bikra ila kama wewe ni chovya chovya utapata chovya chovya mwenzako...
mie na mbuzi wangu jike, ana miezi 7 tu
anataka mchumba.
Hapaki hata mafuta.
mpuuuzi kabsa ww. Zaa wako alafu umuoe. Mnafanya wanawake kama bidhaa!