ichumu lya
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,605
- 2,729
Narudi tena kwenu wanajamvi kutaka kupata connection ya SOKO LA VANNILLA mbichi na kavu.
Kagera tuna kilio kikubwa VANILLA imekosa wanunuzi wakulima wanapoteza matumaini kabisa mwaka huu ikumbukwe ata mwaka jana VANILLA ilishuka toka Tsh.70, 000/@1kg hadi Tsh.30, 000/@1kg hali hii ilitokana na serikali kuzuia wanunuzi kutika Uganda kuja kununua VANILLA ya Wakulima wa Tanzania(Kagera)
Sasa baada ya kutafakari na kuona kilio cha wakulima najinsi wanavyovuna na kuirundika ndani uku waliowengi kutokuwa na elimu ya ukaushaji na utunzaji kwa ujumla nimeona binafsi nipitie jukwaa hili nieashirikishe fursa hii muhimu na hadhimu kutafuta soko la VANILLA tena la kudumu.
VANILLA inapatikana kwa wingi bei ni kuanzia T.sh 30, 000/@1kg kushuka chini hii ni VANILLA mbichi.
VANILLA KAVU GRADE ONE =T.sh 350, 000@1kgm kwa yeyote mwenye uhitaji awasiliane nasi kupitia simu No.+255 622 573 467 lengo ni kumsaidia mkulima wa Kagera wilaya zote za Kagera wana kilio hichi.
Tafadhali fikisha taarifa hii kwenye makundi ya WhatsApp, Telegram, Twitter na kwingineko.
Mwisho niwaombe team nzima ya Jf kuweka sawa andiko ili na kulisambaza nisikoweza kufika.
Email-mujunkatikabakama@gmail.comView attachment 2686326View attachment 2686327
Kagera tuna kilio kikubwa VANILLA imekosa wanunuzi wakulima wanapoteza matumaini kabisa mwaka huu ikumbukwe ata mwaka jana VANILLA ilishuka toka Tsh.70, 000/@1kg hadi Tsh.30, 000/@1kg hali hii ilitokana na serikali kuzuia wanunuzi kutika Uganda kuja kununua VANILLA ya Wakulima wa Tanzania(Kagera)
Sasa baada ya kutafakari na kuona kilio cha wakulima najinsi wanavyovuna na kuirundika ndani uku waliowengi kutokuwa na elimu ya ukaushaji na utunzaji kwa ujumla nimeona binafsi nipitie jukwaa hili nieashirikishe fursa hii muhimu na hadhimu kutafuta soko la VANILLA tena la kudumu.
VANILLA inapatikana kwa wingi bei ni kuanzia T.sh 30, 000/@1kg kushuka chini hii ni VANILLA mbichi.
VANILLA KAVU GRADE ONE =T.sh 350, 000@1kgm kwa yeyote mwenye uhitaji awasiliane nasi kupitia simu No.+255 622 573 467 lengo ni kumsaidia mkulima wa Kagera wilaya zote za Kagera wana kilio hichi.
Tafadhali fikisha taarifa hii kwenye makundi ya WhatsApp, Telegram, Twitter na kwingineko.
Mwisho niwaombe team nzima ya Jf kuweka sawa andiko ili na kulisambaza nisikoweza kufika.
Email-mujunkatikabakama@gmail.comView attachment 2686326View attachment 2686327