M Mapigo1 JF-Expert Member Oct 14, 2013 256 90 Nov 20, 2014 #1 Wadau nilnatafuta soko la uyoga Nimelima kilo 300 but kilo 100 zimeshapat mteja bado kilo 200 naomben Msaada wenu!!!
Wadau nilnatafuta soko la uyoga Nimelima kilo 300 but kilo 100 zimeshapat mteja bado kilo 200 naomben Msaada wenu!!!
T tpmazembe JF-Expert Member Jan 5, 2012 2,469 581 Nov 20, 2014 #2 embu tuoneshe picha ya uyoga mwenyewe na utuambie umelima wapi maana nao ubora unategemeana na eneo. wa rukwa unapendwa sana
embu tuoneshe picha ya uyoga mwenyewe na utuambie umelima wapi maana nao ubora unategemeana na eneo. wa rukwa unapendwa sana