Vicin
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 676
- 295
Habari wadau.
Nina mpango wa kufungua mashine ya kukoboa na kusaga mahindi. Niweke kwenye package kisha nisafirishe mikoani kwa wateja wa jumla.
Mashine, packages, mahindi, na mengine yanayohitajika ninayo, ila napata changamoto kwenye suala la uhakika wa soko.
Naomba kama kuna mwenye ufahamu wa soko, au yeye ni muhitaji wa bidhaa hii ya unga anijuze, au anisaidie mawazo.
Nathamini na ninategemea sana mawazo yenu wadau.
Natanguliza shukrani zangu.🙏🙏
Nina mpango wa kufungua mashine ya kukoboa na kusaga mahindi. Niweke kwenye package kisha nisafirishe mikoani kwa wateja wa jumla.
Mashine, packages, mahindi, na mengine yanayohitajika ninayo, ila napata changamoto kwenye suala la uhakika wa soko.
Naomba kama kuna mwenye ufahamu wa soko, au yeye ni muhitaji wa bidhaa hii ya unga anijuze, au anisaidie mawazo.
Nathamini na ninategemea sana mawazo yenu wadau.
Natanguliza shukrani zangu.🙏🙏