ABEMMANUEL
Member
- Jan 26, 2014
- 14
- 0
.
Akisema yeye ni mwanafunzi kuna madhara gani mkuuNenda mitaa ya kwa azz ali kuna madalali wa kutosha watakusaidia, ila ukifika usiseme ww n mwanafunz kama unataka nyumba nje na hostel.
we jinsia gan? unaweza tuma picha?uje ukae nami ila angalau niione sura yako ilivyo na jinsia. wanaume wanaweza kutafuta ila huwa nawaonea huruma sana dada zangu. so kma ni jinsia KE tuma tu picha yako then ntakwambia kma uje kukaa nami au vipi
Kuna uwezekano wa madalali kupandisha kodi endapo ataitaji kuishi kwenye nyumba za familia coz wanaamini wanafunz wanapesa.Akisema yeye ni mwanafunzi kuna madhara gani mkuu