Serious natafuta room mate wakike niwe na share chumba moja na mm nipo chuo, plz kama haupo seriou usijishuhulishe na hapa.. Namba yangu ni 0755243224
Chuo gani....?
Wewe ni jinsia gani....?
Preta ni wa kike huyu we jipeleke ukakae nae halafu utupe matokeo
CCP Moshikukaa nae sio tatizo.....
tatizo ni kutoa taarifa nusu nusu....vyuo vipo vingi sana hapa Tanzania.....aseme ni wapi...
Serious natafuta room mate wakike niwe na share chumba moja na mm nipo chuo, plz kama haupo seriou usijishuhulishe na hapa.. Namba yangu ni 0755243224
kukaa nae sio tatizo.....
tatizo ni kutoa taarifa nusu nusu....vyuo vipo vingi sana hapa Tanzania.....aseme ni wapi...
Hebu Preta tusaidie kupigia simu then utupe report.Akikuambia ni chuo gani utauliza maswali mengi sna,hata kule jukwaa la matangazo madogomadogo aliulizwa hakutaja jina, zaidi ya hiyo namba ya simu aliyoweka hapo. Na kwa aliyepitia maisha ya chuo huwezi kukosa mate wa kushare naye room,wapo wengi na wanahangaika sana kwenye vyuo,watu wanabebana hostel kila kukicha. ninachojiuliza mimi ni kweli mpaka aje atafutie hapa jamvini?haijalishi ni chuo gani,but inanipa mashaka.if uko tayari jitoe mhanga dada.
Serious natafuta room mate wakike niwe na share chumba moja na mm nipo chuo, plz kama haupo seriou usijishuhulishe na hapa.. Namba yangu ni 0755243224
CCP Moshi