C chuku Member Jun 9, 2009 40 0 Jun 30, 2009 #1 Wana JF Nependa kuwa shirikisha katika swala langu la PART TIME Aaccoutant napendelea Arusha.
Kaitaba JF-Expert Member Jun 30, 2009 916 52 Jun 30, 2009 #2 Hiyo kazi unayoitaka umeisomea chuo gani na mwaka gani?, na uko tayari mkoa wowote?
kui JF-Expert Member Mar 2, 2009 6,467 6,494 Jul 2, 2009 #3 Kaitaba said: Hiyo kazi unayoitaka umeisomea chuo gani na mwaka gani?, na uko tayari mkoa wowote? Click to expand... He already said he prefers Arusha...I think!
Kaitaba said: Hiyo kazi unayoitaka umeisomea chuo gani na mwaka gani?, na uko tayari mkoa wowote? Click to expand... He already said he prefers Arusha...I think!
N NAKWEDE JF-Expert Member Aug 1, 2007 27,971 35,113 Jul 2, 2009 #4 chuku said: Wana JF Nependa kuwa shirikisha katika swala langu la PART TIME Aaccoutant napendelea Arusha. Click to expand... Je wana arusha wakipata anayetaka mhasibu lakini wa full time uko tayari tukujilishe au ni kama ulivyo insist kwamba ni part time?
chuku said: Wana JF Nependa kuwa shirikisha katika swala langu la PART TIME Aaccoutant napendelea Arusha. Click to expand... Je wana arusha wakipata anayetaka mhasibu lakini wa full time uko tayari tukujilishe au ni kama ulivyo insist kwamba ni part time?
C chuku Member Jun 9, 2009 40 0 Jul 8, 2009 Thread starter #5 Nashukuru kwa ushirikiano ,hata ikipatikana ya Fulltime me niko tayari kwa hapa Arusha.Naomba tuendelee kushirikiana.
Nashukuru kwa ushirikiano ,hata ikipatikana ya Fulltime me niko tayari kwa hapa Arusha.Naomba tuendelee kushirikiana.
M mswazi Member Nov 18, 2007 25 2 Jul 26, 2009 #8 Kwa Accountant kuwa part time si dhani kaka, may be msaidizi ktk idara ya uhasibu
S stanley moses New Member Jul 24, 2009 3 0 Jul 27, 2009 #9 natafuta kazi as bisness administrater popote tz jina stanley moses simu 0713163155 au stanleymoses67@yahoo.com
natafuta kazi as bisness administrater popote tz jina stanley moses simu 0713163155 au stanleymoses67@yahoo.com
L lina kiwelu Member Mar 15, 2010 6 0 Jun 16, 2010 #10 nafikiri, ungetoa detail zako ili ilkipatikana mtu aweze kukupata kirahisi!