Habari wana JF.
Naomba kama kuna mtu anauza NOAHA iliyo katika hali nzuri wasiliane name.
Asante
Wewe unayo ipi kati ya hizo 2?Noaha au Noah......?
Habari wana JF.
Naomba kama kuna mtu anauza NOAHA iliyo katika hali nzuri wasiliane name.
Asante
Wewe unayo ipi kati ya hizo 2?
Noaha na Noah?
Habari wana JF.
Naomba kama kuna mtu anauza NOAHA iliyo katika hali nzuri wasiliane name.
Asante
call 0715 881881 ninayo ya 2003Habari wana JF.
Naomba kama kuna mtu anauza NOAHA iliyo katika hali nzuri wasiliane name.
Asante
Bujeti yangu ni mil. 8
Wasalimie Arusha basi.nina mdudu hendsam.........
Habari wana JF.
Naomba kama kuna mtu anauza NOAHA iliyo katika hali nzuri wasiliane name.
Asante
mkuu km uko niandikie msg kwenye 0657 145555 uniambie budget yako na aina ya noah unayotaka mi ninazo kuanzia number b mpaka c bei zimeanzia 8.5 mpk 15 cm yangu inapatikana usiku nipo dar